Nassary 2015 si mbali, Mvulie uvivu mzee mtei"

bora umesema ukweli mkuu maana hawa magwanda wa kichaga nao ni wezi kama yule mvuta bangi wa arusha lema pia na hao wakina slaa ni wezi na kaiba ipad mwanza na anasakwa na polisi pia acheni kula ruzuku bure wezi wakubwa nyieeeee
hivi jamani mnadhani tukiwapa chadema nchi yetu itakombolewa?na mjue wazi kuwa chadema hatuwapi nchi wana ajenda yao nyuma ya pazia alafu ninyi wakosa akili mnashabikia uozo wa wachagaaaa jamani nawasilisha hoja yangu hiiii mimi sio gamba na wala sio chadema mimi ni mwana anae fikiria mbali ninyi mna macho mawil mengine kachukuwa zito wenu huyu na atawaacha pabaya mtakumbuka upuuzi wangu.
CUF=CCM. Haya kaka nenda kapokee ujira wako kwa Mukama na Nape!
 
Huko kichwani umejaza mavi na kamasi ndiyo maana hata uwezo wako wa kufikili ni wa kimavi mavi tu, jaribu kumpelekea huu uhaolo wako, yule mwenye kifafa anaweza kukuzawadia....
bora umesema ukweli mkuu maana hawa magwanda wa kichaga nao ni wezi kama yule mvuta bangi wa arusha lema pia na hao wakina slaa ni wezi na kaiba ipad mwanza na anasakwa na polisi pia acheni kula ruzuku bure wezi wakubwa nyieeeee
hivi jamani mnadhani tukiwapa chadema nchi yetu itakombolewa?na mjue wazi kuwa chadema hatuwapi nchi wana ajenda yao nyuma ya pazia alafu ninyi wakosa akili mnashabikia uozo wa wachagaaaa jamani nawasilisha hoja yangu hiiii mimi sio gamba na wala sio chadema mimi ni mwana anae fikiria mbali ninyi mna macho mawil mengine kachukuwa zito wenu huyu na atawaacha pabaya mtakumbuka upuuzi wangu.
 
Leo hii nimesikia magazetini kuwa serikali kule Arumeru imetangaza kuyapunguza mashamba makubwa na kuwagawia wazawa!!!!!!
 
Umeulizwa waambie wana JF Mzee mtei anamiliki hekali ngapi? je anazitumia kufanyia nini? je wana-Arumeru wanafaidika kwa chochote kutokana na shamba anayomiliki mzee Mtei...Je wazungu kwa ujumla naowana miliki hekali ngapi? wana-Arumeru wanafaidia kwa lipi kutokana na uwekezaji wa hao wacameron wako...je maeno yote wanayo ya miliki hao wazungu wanayafanyia kazi kulingana na mkutaba wao, wanalipa kiasi gani kwa heka moja kwa mwaka...
Wakuu huyu mzee mtei si wakuchekewa kwani yy ni sawa na hao mabepari2.
 
bora umesema ukweli mkuu maana hawa magwanda wa kichaga nao ni wezi kama yule mvuta bangi wa arusha lema pia na hao wakina slaa ni wezi na kaiba ipad mwanza na anasakwa na polisi pia acheni kula ruzuku bure wezi wakubwa nyieeeee
hivi jamani mnadhani tukiwapa chadema nchi yetu itakombolewa?na mjue wazi kuwa chadema hatuwapi nchi wana ajenda yao nyuma ya pazia alafu ninyi wakosa akili mnashabikia uozo wa wachagaaaa jamani nawasilisha hoja yangu hiiii mimi sio gamba na wala sio chadema mimi ni mwana anae fikiria mbali ninyi mna macho mawil mengine kachukuwa zito wenu huyu na atawaacha pabaya mtakumbuka upuuzi wangu.

hivi we unatumia akili ipi ya mtu au mnyama unajadili tu ukabila je nasari ni mchaga, wenje ni mchaga, zito vip, jj mnyika ni mchaga na wengine wengi ........................... Hivi fitina za ccm zimetumika muda mrefu ila ashukuriwe mungu kwamba siku za kudanganywa na wezi zimepita ................. Na tumeshaanza kuona viashiria vya ukombozi
 
Bw/Bi Aranblue una mawazo mgando kweli. Unaposema magwanda ya kichaga una maanisha nini? Tulishawaambia kuwa JamiiForums si Kijiwe cha Wanywa Gahawa au wavuta Bange. Ni eneo la Watu makini wanaoona mbali kutoa maoni yao kwa faida ya Tanzania ya leo ya ijayo. Tatizo lako na magamba wenzio hamuoni mbali. Unadhani Watanzania wataendelea kuwaamini ninyi wala rushwa na mnaowaibia kodi zao? Wawaamini ninyi kwa kazi gani mliyoifanya kwa miaka 50? Umesahau ugonjwa wa Kagoda, Meremeta, Deep Green, Kiwira n.k? Mmegeuza nchi yetu kuwa shamba la Bibi, tuendelee kuwaamini? Hao wacheza gofu waliohodhi ardhi ya Wameru, si ninyi Magamba mliwakaribisha? Huo ndio uwekezaji mnaojivunia? Kwa sera zenu magamba za uwekezaji, mitaa imejaa wazungu, wahindi n.k. ambao wanauza maduka ya rejareja. Huo ndio uwekezaji mnaojivunia? Migodi mmebinafsisha, tena kwa kutoa tax holiday ya miaka mitano. Huo ndio uzalendo mnaouhubiri? Hakuna aliye mzalendo katika CCM, wote ni wachakachuaji, si mkubwa si mdogo. Mbaya zaidi mmewaambukiza hadi watoto wenu wadogo, wanakua wakiwa na sumu ya uchakachuaji na rushwa.
Laana ya Watanzania itawatafuna ninyi, na siku si nyingi mtafilisika, na ndipo CCM itabakia kuwa historia Tanzania, pamoja na udini, ukabila, urangi, ukanda n.k. mnaoueneza kwa ndimi zenu kali kama za kobra.
:crying:un
bora umesema ukweli mkuu maana hawa magwanda wa kichaga nao ni wezi kama yule mvuta bangi wa arusha lema pia na hao wakina slaa ni wezi na kaiba ipad mwanza na anasakwa na polisi pia acheni kula ruzuku bure wezi wakubwa nyieeeee
hivi jamani mnadhani tukiwapa chadema nchi yetu itakombolewa?na mjue wazi kuwa chadema hatuwapi nchi wana ajenda yao nyuma ya pazia alafu ninyi wakosa akili mnashabikia uozo wa wachagaaaa jamani nawasilisha hoja yangu hiiii mimi sio gamba na wala sio chadema mimi ni mwana anae fikiria mbali ninyi mna macho mawil mengine kachukuwa zito wenu huyu na atawaacha pabaya mtakumbuka upuuzi wangu.
 
Mwacheni mzee wa watu apumzike kwani ni akili timamu kwa kuongoza chama mpaka sasa tunakiona ni chama bora
 
Ni kweli huyu babu mtei ni balaa anafagilia udini sana na ukabila,wanajamii naomba mnisaidie ni sababu gani zilizomfanya babu mtei atofautiane na baba wa taifa hayati mwl Julius K Nyerere na kumfukuza kwenye serikali yake miaka ile?Nisaidieni plzz!
 
[h=2]Wananchi Arumeru kugawiwa mashamba[/h]


Na John Ngunge



26th April 2012







MagesaMulugo.jpg

Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo


Wilaya ya Arumeru imeanza kufanya tathmini ya mashamba makubwa 19 yanayomilikiwa na wawekezaji wa ndani na nje kwa lengo la kuangalia uwezekano wa wamiliki hao kupunguza baadhi ya maeneo yao ili kuwapatia wananchi ambao hawana kabisa ardhi wilayani humo.
Hayo yamesemwa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Magesa Mulongo, na kuwataka wananchi wilayani humo kuacha tabia ya kuuza mashamba yao yote hali ambayo itawafanya kuwa na maisha magumu zaidi.
Kikao cha kamati ya Ulinzi na Usalama pamoja na mambo mengine, kilikuwa mahususi kujadili na kutafuta ufumbuzi wa migogoro ya uvamizi wa ardhi wilayani humo, inayofanywa na baadhi ya wakazi wake wakitaka kuchukua kwa nguvu maeneo yanayomilikiwa na wawekezaji hao kwa madai kuwa hawana ardhi huku wawekezaji hao wakikwa wamehodhi ekari nyingi.
"Halmashauri inafanyia tathmini mashamba 19 yanayomilikiwa na wawekezaji wilayani humo…tunataka kuangalia uwezekano wa kupunguza baadhi ya ekari zinazomilikiwa na wawekezaji hao ili kuzigawa kwa wananchi ambao hawana mashamba kabisa," alisema.

Hata hivyo, alisema suala hilo linafanywa kwa uangalifu kwa kuwa wawekezaji hao wanamiliki ekari hizo kihalali na kwa mujibu wa sheria, hivyo hayawezi kurudishwa isipokuwa kuangalia uwezekano wa kupunguza. Akijibu swali iwapo tathmini hiyo itafanywa hata kwa shamba la muasisi wa Chadema, Edwin Mtei, Mulongo alikubali kuwa shamba hilo nalo litafanyiwa tathmini hiyo.
Hivi karibuni, Aprili 14 na 15, baadhi ya wananchi na maeneo ya vijiji vya Kitefu, Migadini, Maroroni na kwa Ugoro wanaokadiriwa kufikia 450 walivamia shamba la Dolly Estate Ltd lililopo eneo la Maji ya Chai na kufanya uharibifu kwa kukata uzio unaozunguka eneo hilo la shamba na pia kuwajeruhi baadhi ya walinzi wa shamba hilo pamoja na kuchoma moto vibanda vyao. Shamba hilo lenye ukubwa ekari 4689 linamilikiwa na mwekezaji kutoka nchi moja ya Ulaya, Jerome Bruins.
Pamoja na uvamizi wa shamba hilo, Aprili 21 muda wa usiku na Aprili 22 kuanzia majira ya asubuhi watu wanaokadiriwa kufikia 500 walivamia shamba la Machuma Estate linalomilikiwa na Tosk Hans na Depee Hans.
Mulongo alisema sababu kubwa inayoelezwa na wananchi hao kuwa chanzo cha uvamizi huo ni kutaka kurejeshewa ardhi wanayodai kuwa ni mali yao na kwamba hata kama ardhi hiyo imepewa mwekezaji/wawekezaji, wao kama wananchi hawanufaiki kwa namna yo yote kutoka kwa wawekezaji hao.



CHANZO: NIPASHE
 
bora umesema ukweli mkuu maana hawa magwanda wa kichaga nao ni wezi kama yule mvuta bangi wa arusha lema pia na hao wakina slaa ni wezi na kaiba ipad mwanza na anasakwa na polisi pia acheni kula ruzuku bure wezi wakubwa nyieeeee
hivi jamani mnadhani tukiwapa chadema nchi yetu itakombolewa?na mjue wazi kuwa chadema hatuwapi nchi wana ajenda yao nyuma ya pazia alafu ninyi wakosa akili mnashabikia uozo wa wachagaaaa jamani nawasilisha hoja yangu hiiii mimi sio gamba na wala sio chadema mimi ni mwana anae fikiria mbali ninyi mna macho mawil mengine kachukuwa zito wenu huyu na atawaacha pabaya mtakumbuka upuuzi wangu.

si sahihi kuwabagua watu wa chama chochote kwa misingi ya ukabila. Pia hata kwenye vyama vingine ikiwepo ccm wachaga wapo na inawezekana hata kwenye hivyo vyama, mchaga akagombea nafasi yoyote hata uraisi na akapata. Pia Zitto na Silaa siyo wachaga na wapo Chadema. Kama wewe ni Mpare na una chuki zako na wachaga usizilete humu!
 
Najua kwamba upo humu jamvini, kumbuka zile ahadi ulizotoa za kufanya harakati ktk kuwashinikiza wale wote waliohodhi ardhi ya wameru ili irudishwe tena mikononi mwa wananchi.
"OPERESHENI WAJIBIKAJI"
mhe kabwe zitto ameonesha njia kwa kuishinikiza serikali iwawajibishe viongozi wazembe wote,hapo ndio na ww unatakiwa uanze kwa kufanya harakati ili kumshinikiza mzee mtei arudishe ardhi kubwa aliohodhi kule meru na ikibid uandae maandamaano rasmi ya kumshinikiza huyo mzee arudishe ardhi ya wananchi na baada ya hapo ufate kwa wawekezaji na ndipo utakuwa umetimiza ahadi na dhana nzima ya ' OPERESHENI WAJIBIKAJI.

kweli dada huna huruma hata kwa watoto wakuwazaa mwenyewe!?
 
Mzee Mtei ni mmeru, kama haruhusiwi kumiliki ardhi then hilo ni tatizo..

Hao wazungu wanaocheza golf huko kwenye ardhi za kilimo ndio wanapaswa kurudisha...
Hakika ni bora sera ya CHADEMA ya majimbo , labda tutajua makabila yetu, yaani unasema Mtei ni Mmeru au unatania mkuu?
 
Hilolipo wazi kuwajibishana kuanzie nyumbani kama mtei ameshindwa kuiendeleza ardhi aliyopewa kisheri anapaswa kunyanganganywa haraka kisheria
 
Najua kwamba upo humu jamvini, kumbuka zile ahadi ulizotoa za kufanya harakati ktk kuwashinikiza wale wote waliohodhi ardhi ya wameru ili irudishwe tena mikononi mwa wananchi.
"OPERESHENI WAJIBIKAJI"
mhe kabwe zitto ameonesha njia kwa kuishinikiza serikali iwawajibishe viongozi wazembe wote,hapo ndio na ww unatakiwa uanze kwa kufanya harakati ili kumshinikiza mzee mtei arudishe ardhi kubwa aliohodhi kule meru na ikibid uandae maandamaano rasmi ya kumshinikiza huyo mzee arudishe ardhi ya wananchi na baada ya hapo ufate kwa wawekezaji na ndipo utakuwa umetimiza ahadi na dhana nzima ya ' OPERESHENI WAJIBIKAJI.

Mkawatolee uvivu mafisadi muwatoe kwenye chama ndipo mrudi kuangalia ahadi za Nassari. Kwanza niwapongeze kwa kutekeleza ahadi ya CDM ya katiba mpya; kumbe zile ahadi zenu zilikuwa fix tu?
 
Hilolipo wazi kuwajibishana kuanzie nyumbani kama mtei ameshindwa kuiendeleza ardhi aliyopewa kisheri anapaswa kunyanganganywa haraka kisheria

heshima kwako mkuu! Umeongea point moja nzuri sana. Mungu akubariki
 
Najua kwamba upo humu jamvini, kumbuka zile ahadi ulizotoa za kufanya harakati ktk kuwashinikiza wale wote waliohodhi ardhi ya wameru ili irudishwe tena mikononi mwa wananchi.
"OPERESHENI WAJIBIKAJI"
mhe kabwe zitto ameonesha njia kwa kuishinikiza serikali iwawajibishe viongozi wazembe wote,hapo ndio na ww unatakiwa uanze kwa kufanya harakati ili kumshinikiza mzee mtei arudishe ardhi kubwa aliohodhi kule meru na ikibid uandae maandamaano rasmi ya kumshinikiza huyo mzee arudishe ardhi ya wananchi na baada ya hapo ufate kwa wawekezaji na ndipo utakuwa umetimiza ahadi na dhana nzima ya ' OPERESHENI WAJIBIKAJI.

Wewe ni KENGE.. Najua unamaumivu na Arumeru.. pole sana na hakuna rufaa pale, nashukuru Lusinde hana undugu na CDM,manake kwa MITUSI ile lazima mngekata rufaa KENGE WEWEEE...
Chalinze hadi Lugoba JK kapora wanakijiji zaidi ya MIA NANE(800) kwa ahadi vijana wa maeneo yale watanufaika na wawekezaji watakaokuja kuwekeza hapo.. Sasa hilo hujaliona..Wakatu wa kampeni alitoa ahadi pale Same kua,ataleta maji toka Ruvu... KIMYAAAA.. Yaani alidanganya vizee pale hata mshipa wa aibu hana.. KENGE WEEE... CHAMBA THEN NUSA,KAMA HAINUKI NISEME MIMI NANUKA.. KAMA BADO WANUKA ZIBA BAKULI CHAMBA KWA SAAANA..
 
Wakuu huyu mzee mtei si wakuchekewa kwani yy ni sawa na hao mabepari2.

Wilaya ya Arumeru imeanza kufanya tathmini ya mashamba makubwa 19 yanayomilikiwa na wawekezaji wa ndani na nje kwa lengo la kuangalia uwezekano wa wamiliki hao kupunguza baadhi ya maeneo yao ili kuwapatia wananchi ambao hawana kabisa ardhi wilayani humo.

….akijibu swali iwapo tathmini hiyo itafanywa hata kwa shamba la muasisi wa Chadema, Edwin Mtei, Mulongo alikubali kuwa shamba hilo nalo litafanyiwa tathmini hiyo.

Source: IPP MEDIA
 
bora umesema ukweli mkuu maana hawa magwanda wa kichaga nao ni wezi kama yule mvuta bangi wa arusha lema pia na hao wakina slaa ni wezi na kaiba ipad mwanza na anasakwa na polisi pia acheni kula ruzuku bure wezi wakubwa nyieeeee
hivi jamani mnadhani tukiwapa chadema nchi yetu itakombolewa?na mjue wazi kuwa chadema hatuwapi nchi wana ajenda yao nyuma ya pazia alafu ninyi wakosa akili mnashabikia uozo wa wachagaaaa jamani nawasilisha hoja yangu hiiii mimi sio gamba na wala sio chadema mimi ni mwana anae fikiria mbali ninyi mna macho mawil mengine kachukuwa zito wenu huyu na atawaacha pabaya mtakumbuka upuuzi wangu.

hatuwapi inchi na nani....?
lafu hutuja kuomba ujitambulishe. ki mble front tu!!!
 
Najua kwamba upo humu jamvini, kumbuka zile ahadi ulizotoa za kufanya harakati ktk kuwashinikiza wale wote waliohodhi ardhi ya wameru ili irudishwe tena mikononi mwa wananchi.
"OPERESHENI WAJIBIKAJI"
mhe kabwe zitto ameonesha njia kwa kuishinikiza serikali iwawajibishe viongozi wazembe wote,hapo ndio na ww unatakiwa uanze kwa kufanya harakati ili kumshinikiza mzee mtei arudishe ardhi kubwa aliohodhi kule meru na ikibid uandae maandamaano rasmi ya kumshinikiza huyo mzee arudishe ardhi ya wananchi na baada ya hapo ufate kwa wawekezaji na ndipo utakuwa umetimiza ahadi na dhana nzima ya ' OPERESHENI WAJIBIKAJI.


Ni mali yeke kanunua kwa kufuata taratubu husika halazimiki kuirudisha
 
Back
Top Bottom