Recent content by titration

  1. T

    Muongozo wa kununua vifaa vinavyotumia processor za intel

    Mkuu Mkwawa awali ya yote pongezi sana kwa kutuelimisha nn mtazamo wako na ushauri wako kwangu kuhusu hii pc kama ni nzuri ya kawaida au ni mbaya. processor:Intel(R)Core(TM)i5CPU M540at 2.53GHz 2.53GHz..............utanisamehe hilo neno at limeandikwa kwa mfumo wa computer lakini nimeshindwa...
  2. T

    Kutaka kujua habari zaidi kuhusu chuo cha st john

    Wakuu heshima kwenu na poleni na harakati mbalimbali za kimaisha,,ndugu zangu namshukuru Mungu mwaka huu nimepangiwa chuo cha St john main campus faculty ya bachelor of science with education lakini kwa kweli mimi cjawahi kufika dodoma na kibaya zaidi sielewi hata utaratibu wa pale chuoni kuhusu...
  3. T

    Mwenzenu majanga

    Mkuu tafadhali sana naomba namba yako nataka kujua mengi kuhusu chuo cha st john maana nimepangiwa huko mpk sasa sielewi taratibu za chuo
  4. T

    Second Round Application TCU

    Mm hata st joseph napataka swala ni je kozi za education za science zipo kias kwamba ninaweza kuapply au zimejaa?
  5. T

    Second Round Application TCU

    Mkuu najihis kuchanganyikiwa mm ni miongoni mwa waliokosa vyuo awamu ya kwanza nilikuwa na c ya biology,,d ya georaphy na chemistry nilipata e je ni chuo gan cha ualimu niapply kwa second round?
  6. T

    Mada maalumu: Mchakato Bodi ya Mikopo 2015/16 (Vigezo na ujazaji fomu)

    Wakuu naomba msaada mm nimemaliza form4 2010 lkn matokeo yalitoka nikiwa na credit mbili,,2011 nikareset nikakosa na mwaka 2012 nikareset nikapata so zikamilika bt kutingana na tatizo la kifedha mwaka huu nimefanya mtihani wa form5....sasa ktk kutuma no ya m-pesa je nilipe kupitia namba ya...
  7. T

    Mada maalumu: Mchakato Bodi ya Mikopo 2015/16 (Vigezo na ujazaji fomu)

    Ndugu zangu naomba mnisaidie ni hv mm nimehitimu form4 mwaka 2010 bahati mbaya matokeo hayakuwa mazuri sana nilikuwa na credit2,namshkuru Mungu nilirudia na nikapata hv muda huu nipo ukingoni kumaliza mitihani ya form6 kwa combination ya C.B.G lkn kutokana na hali ya kifedha nimefanya mtihani...
  8. T

    Gwajima akimbizwa Hospitali Muhimbili usiku huu

    Pamoja mkuu kama vp nipm then unipe namba yako niisave pls naomba hili swala limenigusa sana
  9. T

    Gwajima akimbizwa Hospitali Muhimbili usiku huu

    Kamanda na mm naomba unirushie ili nichuje kipi pengo ameongea bt kwa heshima na taadhima naomba unirushie hapa
  10. T

    Misungwi: Polisi wampiga mtu hadi kumuua

    Hii habari ni ya kweli au ya kutunga?
  11. T

    Mnyika is the most brilliant lawmaker!

    Ukiacha chuki pembeni Mnyika ni jembe naamini 2025 atakuwa Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania
  12. T

    Dr. Slaa Hatatuangusha Watanzania

    Slaa ni Mheshimiwa rais awamu ya tano
  13. T

    CHADEMA Kumuondoa Lema Arusha

    cna hakika
Back
Top Bottom