daah pole sana kijana japo nami ni muhanga lakini naomba niweze kushare nawe japo kiduchu nikijuacho,kwanza kijana ukijichanganya utakosa mkopo cha kufanya omba kozi zenye mikopo walau hata kiduchu then fuatilia transfer,mimi nilimaliza 2014 nikiwa na div 3.11 nimetoka jeshi na stress baada ya kukosa chuo nikajaza open university bila kujua ipoje kuulizia watu nikaona sistahili kusoma apo nikaomba transfer nikapata st.johns dom education uku me na uroho wa kusoma MD nikahamia nursing wakanipokea nikajitahidi ivo ivo kiugumu semester ya kwanza ikaisha nilipoona mkopo unazidi kua tatizo NIKAACHA ili niombe tena asee sijawahi kudream kusoma engineering kwa iyo round zote tatu nilijitahidi kujaza vyuo walau vya bei nafuu MD nikatemwa ILA KUMBUKA GOD IS GOOD ALWAYS itabidi nijaze walau vyuo nipate mkopo ili niweze kuhama