Malafyalep habari Ndugu, na hongera sana kwa kuwekeza kwenye kilimo na ufugaji, & pia asante sana kwa hii elimu uliyotugawia, kweli imekuwa chachu na msaada mkubwa kwa wengi wetu. Mimi kaka naomba kujua kama una uzoefu na Mashamba ya kisarawe. Nina shamba ambalo halijalimwa, na ningependa...
Wewe Kaka Hembu acha Roho Mbaya na ya Kwa nini....Hapa Marekani hauko peke yako, ila tujue kusifia na kussuport vtmya kwetu & ukweli ni kwamba Diamond kajitahidi na kapiga hatua ya kihistoria Tanzania. Still mahaters tunajuwa mtaponda siku zote.
Kaza buti Diamond some of us R proud of you &...
Habari zenu wana Jamii forum. Natumaini wote hamjambo.
Ningependa kupata msaada Wa ushauri kutoka Kwa mtu ambaye anajua ni aina gani ya Mazao, ambayo yanapandwa au yanaweza kupandwa na kustawi kwenye Mashamba ya maeneo ya Kisarawe.
Michango yenu itanisaidia sana. Naomba nitangulize Shukrani...
Hi Lara1, Karibu utembelee page yetu kwenye FB, tunadeal na viatu, pamoja na vitu vingine tofauti. Ukipenda utakavyoviona, inbox me tuongee vizuri. Tucheki kwenye hii link. https://www.facebook.com/dillycollections Asante.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.