Recent content by timetoloveyourself

  1. timetoloveyourself

    Baada ya mapenzi

    Upendo hauhesabu mabaya, Upendo hufukia ubaya wote wa mtu. Ukimpenda mtu na ukadhamiria haswa kumpenda kamwe hutoona wala kuhesabu ubaya wake. Wahenga wanaposema amri kuu ni upendo maana yake ktk upendo ugomvi na aina yoyte ya chuki na kadhia haviwezi tamalaki. Ila kinyume chake ndio kuanza...
  2. timetoloveyourself

    Baada ya mapenzi

    Inategemea ntu na ntu. Mie kuna ntu nilimwacha lakini siachi kumsifia jamaa ni handsome kweli na yuko vizuri kwa game lakini kitu kidogo tu tulishindwana na ni rafiki yangu bado tunajadili Mambo kadhaa ya maisha ingawa kila mmoja alisha move on
  3. timetoloveyourself

    Toka Songea hadi Mbinga ni uroda tu, wamarekani hoyee!

    Panyambiki pa mbinga bambo. Nga cha kupwagha.
  4. timetoloveyourself

    Wachaga na baskeli za phonex{anita}

    Wasukuma ndio wanaongoza kwa kumiliki baiskeli. Huwezi ingia kaya ya msukuma ukakosa baiskeli
  5. timetoloveyourself

    Jacob Nchimbi apigwa baada ya kuhisiwa anampeleleza Lipumba

    Mkuu wahisha huo ushahidi mahakamani kumbe utawajua wauwaji halafu umeuchuna tu. Jitahidi umtendee haki marehemu
  6. timetoloveyourself

    USAHIHI: Hakuna Nyumba ya Mnyika inayouzwa Tanzania

    Umewasahau chadema waliomfananisha na shetani miaka nane Kisha shetani alipotunisha mifuko yao wakamwita malaika
  7. timetoloveyourself

    Update ya siku ya upanda miti leo Oktoba mosi

    Wanachama wa chadema ndio wafuata mkumbo aka nyumbu. Better ukawa huna chama hii nchi ni shida sana wanasiasa wa ovyo wanaotaka kutetewa na wananchi badala wao ndio wawatetee wananchi. Sina Imani nao vigeugeu
  8. timetoloveyourself

    Update ya siku ya upanda miti leo Oktoba mosi

    Unafiki WA mbowe unaukumbuka lakini? Tumeshabadili Gia kama kawaida. Sasa mbowe nae katoa picha ya chagadema bila shaka
  9. timetoloveyourself

    Wapinzani hawapingi ununuzi wa ndege, wanachoshangaa ni "ushamba" wa ushangialiaji, kweli ni aibu

    Kwa mtu alieanguka chini Kisha akaamka baada ya kuzubaa hapo chini muda mrefu na akapukuta mavumbi yake tena hakusaidiwa bali alichekwa kuwa angukko lake ni lakujitakia. Mtu Huyo ainukapo na kitembea kwa hatua za haraka lazima wewe uliemcheka ukidhani hatoinuka tena ujjtafakari mara mbili...
  10. timetoloveyourself

    Mbowe kamkosea heshima Lipumba

    Pale viongozi WA kisiasa wanapoacha kutetea maslahi ya wananchi na kuwataka wananchi watetee maslahi yao inakuwa shida sana kwa mwenye kutumia akili yake kuelewa siasa za Afrika. Wananchi Wana changamoto lukuki lakini kamwe viongozi WA kisiasa hasa wasioko madarakani hawajawahi tumia nguvu...
  11. timetoloveyourself

    Nifanye nini ili hali hii iondoke moyoni mwangu?

    Wote walitajwa kwa scandal tofauti. Chenge Tibaijuka Lowasa Tangu walipoamua kumtakasa Huyo WA Richmond sijawahi kuwaamini tena kama wanawatajaga mafisadi kiukweli au uchwara
Back
Top Bottom