Wachaga na baskeli za phonex{anita}

Wachaga na baskeli za phonex{anita}

Dah umenikumbusha mbali sana hiyo baiskeli ya migamba miwili
 
Ndo maana nkasema kwa wachaga ninaowajua nawaona na baiki so sjui n wachaga wakimbizi au wamejipachika tuuu uchaga...,lakin nawaona weng wao wanazkubal sana anita...
Mchaga ni nani? Mmachame? Mrombo? Mmarangu? Muuru?
 
Siku hizi tumeachana na phoenix tunatumia Toyo a.k.a Bombadier
 
Wachaga kwa toyota stout ni noma,wanapenda sana hizo ndinga.lakini kwa miaka hii imepotea sana hiyo gari lakini ukienda kwa wachaga lazima ukutane nayo.

Ni kweli kabisa wachagga kwa Toyota stout wanazipenda sana,kwa kuwa walizitumia sana enzi za biashara ya bia za magendo kutoka kenya na hapo ndipo zile gari zilipofunga ndoa na wachagga kwani ni ngumu sana zile gari na mpaka leo zipo japo ni chache sana.
 
Wasukuma ndio wanaongoza kwa kumiliki baiskeli.
Huwezi ingia kaya ya msukuma ukakosa baiskeli
 
Mchaga
1475438784717.jpg
 
Back
Top Bottom