KIKOSIKAZI
JF-Expert Member
- Aug 12, 2014
- 2,219
- 1,150
Majambazi yanatesa Goba wala hana Habari
Ndani ya wiki moja, matukio makubwa 7 ya ujambazi yametokea Goba.watu wameuwawa na wengine kuingiliwa kinyume na maumbile kwa nguvu na kisha kuibiwa.GOBA NI KANDA MAALUMU YA MAJAMBAZI,