crabat
JF-Expert Member
- Dec 28, 2012
- 4,323
- 2,210
Msajili wa Vyama vya siasa hana mamlaka ya kuingilia maamuzi ya vyma lakini chams cha siasa kinaweza kuingilia mambo ya ndani ya chama kingine! Only in tz. Big up sana Longido water supply authority(LOWASA)
View attachment 410108
Ukawa ...na Cuf ni part ya Ukawa ...wameona bundi ameingia kuharibu umoja lazima kusaidiana.
Kwa wasio kumbuka..chadema katika chaguzi 5 zilizo fanyika badi tatu 3 hawakuwahi kuweka mgombea..zote walimsapoti Lipumba na cuf. Cdm walianza kumweka slaa na lowasa..
Hivyo ushirikiano wao haujaanza leo au jana. Dio kwamba hakuna misuguano lakini wana elewana na wakikaa wapo pamoja.
Sasa lipumba anajua chadema ilimsapoti mara 3 ...lakini sasa hivi Baada ya kula hela amenunuliwa anaona cdm hawafai..
Atatoka tu hata kwa umma waote wa ukawa kushiriki adituletee nuksi