You can avoid the reality, but you cant avoid the consequences of avoiding the reality.
Mkuu, asante sana kwa uchambuzi wako yakinifu. Sasa watu wanaweza kuanza kuelewa kuwa kuelimika si kwa kupata tu elimu ile itolewayo madarasani{FORMAL}.
Mkuu Sizinga narudi tena kwasababu kuna dogo wajirani kaniomba ushauri baada ya kusikia nikisema haya mlo andika humu.
Matokeo yake yako hivi:-
Civ D
Hist D
Geo D
Kisw F
Engl F
Phy F
Chem D
Bio D
Agri D
B/Math F
yaani Division IV ya 29.
Sasa Mkuu...
Mwenye mawasiliano ya simu ya chuo hiki hapa chini naomba anisaidie.
CLINICAL OFFICER'S TRAINING CENTRE,
P.O.BOX 30,
IFAKARA,
MOROGORO.
Tafadhali sana ndugu zangu, naomba mnisaidie.
Mkuu naomba uniorodheshee baadhi ya vyu vinavyo toa Diploma ya Clinical officers vilivyopo ktk mikoa ya Arusha na Kilimanjaro pamoja na addresses za vyuo hivyo.
TAFADHALI NAOMBA MNISAIDIE!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.