Msaada tafadhali - namna ya kuweka link

Msaada tafadhali - namna ya kuweka link

Hello Habari?
Kwa simu Hii kitu unaifanya Vip? Mpaka inakuwa Gonga hapa Hebu nipe huo ujuzi! Kwa njia ya simu!

poa mkuu.
kuweka link JF kwa simu ni hivi
Unaandika

(url="www.jamiiforums.com")CLICK HERE(/url)

yani ndani ya quotation hizi " " ndiyo unaandika website unayotaka kuiwekea link then pale nilipoandika CLICK HERE ndiyo unaandika maneno ambayo yajitokeze hapa kwenye post. Pia most important step. Kwenye zile bracket za hizi ( ) zibadilishe ziwe square bracket. Yani hivi [ ]. Zipo bracket nne za hvi ( ) so zote zibadilishe ziwe hivi [ ] .Nimeweka bracket za hvi ( ) ili niweze kuelezea mkuu maana ningeweka za hvi
[ ]
ingetokea link yenyewe halafu usingeweza ona mfano wa link kwa simu inawekwaje.
 
heheeeeee sista hongera kwa elimu ulotupatia, namie najiskia mtu kidogo
 
  1. kwanza kabisa fungua huo ukurasa unataka mtu apelekwe. Alafu copy link ya huo ukurasa (pale juu palipo andikwa www.[....].com)
  2. pili andika text yako, na uandike kama ulibo andika 'bonyeza HAPA'
  3. tatu, select neno 'HAPA' kisha ubonyeze kitufe cha hyperlink (unaona pale unapo badilisha rangi ya maandishi? a bold capital A? chini yake kuna kitufe cha dunia kimepigwa X neykundu, kulia kwake kuna kitufe cha ishara ya dunia, na kitu kama number nane imelala. ndio kitufe cha hyperlink).
  4. nne: ukibonyeza hapo utana kuna sehemu ya kuweka link, right-click hapo, paste. kama ulicopy vizuri, utapast link adress
  5. tano: gonga enter, the link is there
  6. post.
Appended: The hyperlink button looks like this:
hyperlink-thumb10864164.jpg





Gonga hapa
 
poa mkuu.
Kuweka link jf kwa simu ni hivi
unaandika

(url="www.jamiiforums.com")click here(/url)

yani ndani ya quotation hizi " " ndiyo unaandika website unayotaka kuiwekea link then pale nilipoandika click here ndiyo unaandika maneno ambayo yajitokeze hapa kwenye post. Pia most important step. Kwenye zile bracket za hizi ( ) zibadilishe ziwe square bracket. Yani hivi [ ]. Zipo bracket nne za hvi ( ) so zote zibadilishe ziwe hivi [ ] .nimeweka bracket za hvi ( ) ili niweze kuelezea mkuu maana ningeweka za hvi
[ ]
ingetokea link yenyewe halafu usingeweza ona mfano wa link kwa simu inawekwaje.

Loading....!
 
ndugu wanajamii

naomba kueleweshwa namna ya kuweka link kwa mfano utakuta mtu amekuandikia email, halafu anakueleza kuwa bofya HAPA, Ukibofya unapelekwa moja kwa moja kwenye eneo hilo, mashikoro mageni wajameni naomba mnijuze
A%20S%20embarassed.gif

ONA
 
Back
Top Bottom