Master Bedroom haina ukubwa maalum
Master bedroom ni chumba kikubwa zaidi kiliio vyote kwenye nyumba..
Lakini pia mara nyingi huwa ni luxury zaidi kuliko vyumba vingine
Hii ndio maana halisi ya master Bedroom
Tujitahidi kuandika vitu ambavyo tunauelewa navyo...
kwasababu hakuna mtu anaeweza kuumba mtu wala mtu anae weza kuumba Ardhi na mbingu kama yupo mtu anaeweza kuumba mtu basi aumbe mimi nitakuwa wakwanza kumsujudia na kumtangaza
Ishaandikwa hatazikwa
Ndiomaana walimzika yakatokea matetemeko tuseme akafufuka
Ndiowakaona ni bora wasimzike
Hata wakimzika kesho asubuhi basi jioni kitawaka tena then ataibuka tena...
Sisi waislam tunaenda na mwongozo wa Quran tukufu
Yeye anakuja na hoja nyepesi kabisa zisizo na mashiko...
Usiseme hivyo kaka
Hujui tuu wanaboa kiasi gani
Yani unaweza kusema hapigwi lakini siku ukajikuta tayari ushampiga mpaka unajiuliza imekuaje...?
Shukuru sana Mungu kama wako katulia
Biashara za kushirikiana ni ngumu sana sana sanaa
Unakuta wewe unamawazo na malengo ya kwenda mbali zaidi mwenzio akiona mmepaata faida ya milioni 20 tuu tayari anataka mgawane anunue IST 😁😁
Sitokaa nikashirikiana na mtu tena kwenye biashara
Nina mke na mtoto mmoja nimejenga na ninampango kabla ya mwaka kuisha niongeze mke wa pili na kujenga nyumba nyengine...
Hii nyumba nyengine kujenga ni lazima hata nisipoongeza mke
Kupanga ni kuchagua
Hesabu za finishing ni baada ya kukamilisha boma,
Hapo ni kama unazunguka tuu,
Finishing inategemeana na hali ya boma lilivyo,
Limejengwa vipi?
Kuta zimenyooshwa vipi?
Mfumo wa umeme umewekwa vipi?
Sakafu imenyooshwa vipi?
Njia zipi ulitumia kufanya ujenzi?
Fundi wa boma anautaalam mkubwa kiasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.