Huwajui watu weupe wewe jiulize kwa nini mpaka leo hakuna watu weusi argentina ila brazil wapo ilhali kote watumwa walipelekwa!hutyo herode si alikuwa mfalme wa Israel Mkuu-na kama ndivyo basi ni dhahiri alikuwa akiongoza weupe wenzake kwa maana hiyo waisrael ni weupe.sasa dhana na ya kuwa waisrael halisi walikuwa weusi inatoka wapi??