Hao madalali labda kama wanahifazi huo mzigo bei hiyo sizani lakini ni soko hulia uanaweza ila sisi tunapokea mzigo kutoka mikoa mingi kwa sasa kwa bei hiyo
Hao watu wa kawambwa acheni mama apige kazi mlikua mnatudanganya mwanao kafaulu eti kapata credt mara sijui merit cjui nn mnatuficha tu ni bora wafaulu wachache ambao umma unaamini kua kweli wamefaulu sio kufichaficha tu. Huyu bilashaka alinufaika na vikao vya kupongezana na kawambwa kwamba brn...
Yeap nikweli lakini kuna wengine wanaagiza afu wanakausha wanasubiri mnada wa vitu vyao then wananunua wenyewe hayo magari tra wanataka kodi yao japo sasa hivi naona bei zao kama ziko juu vile
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.