shaurimbaya
JF-Expert Member
- Oct 3, 2013
- 1,915
- 2,339
nilishawahi kwenda mnada.. bei haipishani na show room... ni full usanii tu..
bora ununue gari lako halali tu
bora ununue gari lako halali tu
Eeeeh kumbe ndio tabia zaoYeap nikweli lakini kuna wengine wanaagiza afu wanakausha wanasubiri mnada wa vitu vyao then wananunua wenyewe hayo magari tra wanataka kodi yao japo sasa hivi naona bei zao kama ziko juu vile
Mkuu mnada unafanyika Bandarini?hapo sijakuelewa tupe maelekezo vizuri.Kwa wenye mipesa yao ni muda muafaka mnada unaendeshwa na majembe auction mart.
Matangazo mbona yametoka sana kwenye magazeti, mudabado unao, cheki link hii hapa kwa minada zaidi ya tra
Tanzania Revenue Authority - Auctions
Mkuu Bandarini sehemu gani hapi?huo mnada ulikuwa unafanyika?kama ni magari itakuwa kwenye yard humo ndani na yadi zenyewe ni Gc,Mivinjeni,Copper yard,LQ,New yard sasa mnada ulikuwa wapi?kwa uzoefu wangu Bandarini hapanyiki mnada na haikuwahi kufanyika huo mnada.Yeah unafanyika hapo jumatatu na ijumaa sasa hivi unaendeshwa na kampuni ya YONO
Hahahaha!uzi wako uliukosea na ndiyo maana nimekuambia weka sawa pale siyo Bandari,ninaijua Bandari toka mwaka 1990 naijua mpaka naugua toka nimekuwa kibarua.Ww sio mzoefu wa minada inafanyika pale wl9 nyuma ya waterfront
Umenikumbusha sakata laO la Juz katimajembe wao wanapenda kweli kazi ila kazi ikija kuwapenda wao hawaishi kulialia.
kwa hiyo wewe hauvai mtumba?Vitu vya mnada naona ni nuskii na laana tupuuu.
Maana wengine wanaodudhulumiwa na kuonewa kw akutokujua tuu.
Sifikirii kwenye maisha yangu kununua vitu vya mnada wa style hii kabisaaaa.
Bora niongeze kidogo tu nichukue kwa uhalali na bila mashaka yoyote
Namba 10Nimedownload izo list za vitu vya mnada.. Nimekuta gari ya Joseph Kusaga - Bentley Conti FS nayo itapigwa mnada! Kweli haya mambo ni deal tu..
Nimedownload izo list za vitu vya mnada.. Nimekuta gari ya Joseph Kusaga - Bentley Conti FS nayo itapigwa mnada! Kweli haya mambo ni deal tu..
Ndio mambo ya mjini hayoInakuwaje hapo ?
Au ni njia ya kukwepa kodi wanatoa kwa gia ya mnada
Hapana mkuu,sio kwamba sivai huwa navaa,ila minaba mara nyingi vitu vyake huwa kama vina nuksi vile.kwa hiyo wewe hauvai mtumba?
swissme
Kweli kaka hawakutangaza mapema wengi wakajua
Mkuu hapo ndio unakua umeshalipa na kodi? Au hiyo ni ya kutolea pale kodi unalipa tena...Mm mwezi wa january nilichukua vitz kalii kwa 3.6mil ...yaan mpaka raha
Watu kwenye vya 'dezo' ndo usiseme, siku wakikuuzia vitu vyako utalia.
Kama hujawahi fanya biashara it means hujawajuwa TRA kwa jinsi walivyo wapuuzi, kila mwaka utozwaji hubadilika hata kama biashara yako haijapanuka.Wanachofanya TRA sio dezo ni dhulma Kwa Watu wenye Mali zao, Na wao Ndio utaona Mungu anawahukumu. Utaratibu mbovu wa ulipaji kodi Ndio yanayotokea, kila siku ninafanya Biashara hiyohoiyo kiasi hicho hicho lkn kodi zinakua tofauti kila utakapoleta mzigo wako.