Wanaosubiri underdog ni mabingwa back to back miaka minne na wanaovunja mikataba wamekuwa wasindikizaji kwa kipindi chote hicho na wanashiriki michuano ya kimataifa kwa kubebwa!
Kweli upeo wako wa kufikiri ni finyu kabisa!
Kwa combination hizi binafsi naona hazitoshi, wangeongeza na nyingine mbili ambazo ni KMC yaani Kiswahili, Mathematics na Chemistry na AFC yenye Agriculture, French na Chemistry. Au mnaonaje wadau?
Kila nafsi itaonja umauti. Haijalishi ni mfuasi wa Yesu (Issa Ibn Mariam), Muhammad SAW au ni pagan. Hivyo jiepushe na upotoshaji wako. Kudhihirisha hili ndio maana umeona wachungaji (mnaowaamini kuwa wameokelewa .....and they have a good faith in jesus christ wamekufa kwa vifo vya ghafla kama...
Hivi wote wanaopata umauti wa ghafla wanakuwa wametupiwa jini! Ndugu, kama Mwenyezimungu hakukujalia uwezo wa kutafakari kabla ya kuandika na kupost ujinga kama huu, ni bora kutoandika chochote na kukaa kimya!.. This is absolutely nonsense!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmiliki si Sauli Mbunge bali ni mfanyabiashara wa madini ya dhahabu wa Chunya. Ukiangalia logo katika uniform zao utaona ina chepe na sururu ambazo ni zana muhimu za uchimbaji zilizompa utajili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmiliki si Sauli Mbunge bali ni mfanyabiashara wa madini ya dhahabu wa Chunya. Ukiangalia logo katika uniform zao utaona ina chepe na sururu ambazo ni zana muhimu za uchimbaji zilizompa utajili.
Sent using Jamii Forums mobile app
Tafakuri yako ni nzuri mkuu but something to note is that global movement inategemea sana financial stability na economic strength ya mtu mmoja mmoja na nchi kwa ujumla wake. Kwa hali ya kiuchumi ya wa Congo (DRC) in particular kama core point ya Ebola na Waafrika kwa ujumla, uwezo wao wa...
Hili ni suala tu la Viongozi wa Serikali kuonesha utii kwa mambo ýanayohusu imani. Kwa vile huyu kiongozi ni muislamu na anafahamu taratibu za adhana ilikuwa ni lazima afanye alichokifanya.
Katika tukio linalofanana na hili mwaka 1992 Rais, mstaafu wa Awamu ya II Mzee Mwinyi akiwa anahutubia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.