rr3
JF-Expert Member
- Mar 19, 2015
- 3,045
- 3,820
Kwa ufupi mno
Unajua mtu unaenda ofisi fulani na anayehusika kutoa huduma hapo ni dini fulani, basi akishaona tu jina lako haliendani na dini yake, utazungushwa kupata huduma hadi ukereke.
Na hii dini inafahamika fika kabisa, ni wabaguzi mno. Sijui huko kwenye nyumba za ibada huwa wanafundishwaga nini.
Ni upuuzi wa hali ya juu kumbagua mtu mweusi mwenzio kisa dini ambayo imeletwa na wakoloni sama mojawapo ya tools of colonisation.
Mtu ukimtajia tu jina anaanza kukupiga chenga bila sababu ila palepale akienda wa dini yake na unamjua anahudumiwa fasta.
Tuondoeni hizi mentality zisizo na maana vichwani mwetu. Sisi ni Waafrika weusi na Watanzania before anything else.
Unajua mtu unaenda ofisi fulani na anayehusika kutoa huduma hapo ni dini fulani, basi akishaona tu jina lako haliendani na dini yake, utazungushwa kupata huduma hadi ukereke.
Na hii dini inafahamika fika kabisa, ni wabaguzi mno. Sijui huko kwenye nyumba za ibada huwa wanafundishwaga nini.
Ni upuuzi wa hali ya juu kumbagua mtu mweusi mwenzio kisa dini ambayo imeletwa na wakoloni sama mojawapo ya tools of colonisation.
Mtu ukimtajia tu jina anaanza kukupiga chenga bila sababu ila palepale akienda wa dini yake na unamjua anahudumiwa fasta.
Tuondoeni hizi mentality zisizo na maana vichwani mwetu. Sisi ni Waafrika weusi na Watanzania before anything else.