CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,729
- 5,923
Miaka mitano au sita. Kwa wale walioajiriwa 2014 hawajapanda daraja kwa miaka yote sita (6). Kwa wale wengine ni miaka 5 bila ile nyongeza, wamepitia changamoto nyingi.
Kulikuwa na dalili nzuri sana lakini ndio hivyo tena tukapata janga hili la "Kovidi19/20"
Wenyewe wanasema bado haijulikani utaisha lini. Sasa chochote kinaweza kutokea. Labda ikatoka 6 hadi 10 bila bila, ama chochote kinaweza kutokea.
Anyway Tuendelee na nyungu season 2
Kulikuwa na dalili nzuri sana lakini ndio hivyo tena tukapata janga hili la "Kovidi19/20"
Wenyewe wanasema bado haijulikani utaisha lini. Sasa chochote kinaweza kutokea. Labda ikatoka 6 hadi 10 bila bila, ama chochote kinaweza kutokea.
Anyway Tuendelee na nyungu season 2