Pambana Mkuu ununue SUV, shida ni hizo gari kuhimili safari ndefu, hivi gari Kama IST waweza safiri dar to mwanza , speed above 100kph non_ stop?
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
Huu uzi NI muhimu Sana kwa wanachuo wote kuupitia , unaonesha ni namna gani elimu tunayoipata chuoni haitusaidii kabisa tunaporudi kitaa wahitimu wengi wanateseka Sana wanaporudi kitaa, ushaur wangu wanachuo wote washtuke mapema waweka mguu 1 chuoni mwingn kitaa ili kupunguza mateso baada ya...
Moshi vijijini Kuna wa Bibi wa kichaga miaka 70 wanafuga ngombe wa maziwa 2 au 3 kibiashara wanapanda milima na kushuka kusaka nyasi za kulishia ngombe ni hatari.
Kule kiboriloni sokoni Kuna wanawake wanafanya biashara ya mitumba ni hatari , Wachaga popote mlipo nawapa Salute,.
Hii tech. Kuna uzi wake humu aliuwekaga Ontario miaka kama mi 5 iliyopita, wazanaki wa humu j.f wakampiga majungu sana kisa forex jamaa akasepa, Salute kwako Ontario popote ulipo.
Moshi janja janja Sana si wanaume si wanawake wote ni wa janja kwa mgeni si rahisi kutoboa Mana wenzio unakuta tayari fursa ZOTE wameshaziteka labda uwe na mtaji Mkubwa ndo waweza fanikiwa.
Mkuu kuwa mpole unaposhauri wadau waagize spare nje unakuwa umegusa maslahi ya watu, ila ukweli kuagiza kunapunguza garama tofauti na kununua spare nchini Mana Bei ni kubwa alafu spare nyingi no fake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.