Kama kichwa cha habari hapo juu, naleta mjadala je kuna mafundi wa hyundai Tanzania?
Mafundi wa mfumo wa gani kwenye Hyundai?Kama kichwa cha habari hapo juu, naleta mjadala je kuna mafundi wa hyundai Tanzania?
Kama kichwa cha habari hapo juu, naleta mjadala je kuna mafundi wa hyundai Tanzania?
Samahani mkuu, Hyundai ni wilaya mpya ama yazamani??Kama kichwa cha habari hapo juu, naleta mjadala je kuna mafundi wa hyundai Tanzania?
kwa nini wasiwepo?
Tupo wa kutosha tumebobea umeme wa magari ,wapo pia ma leged kama JITU LA MIRABA MINNE, ondoa fikra tunduizi story za vijiweni......ooh magari flan hayatengenezeki ni uwongoKama kichwa cha habari hapo juu, naleta mjadala je kuna mafundi wa hyundai Tanzania?
Unamjibu kirahisi as if hizi gari ni common sana. Mpaka miaka ya hivi karibuni watu wamekuwa wakilalamika na mafundi wa magari ya Nissan, tena Xtrail tu, sembuse Hyundai. Sijaribu kusema hakuna mafundi nadhani si wengi. Niko tayari kujuzwa zaidi
Chini ya muembe wanatengeneza matroli ya ToyotaMafundi wa hizo gari wapo wa kutosha ila huwezi kuwapata chini ya mwembe,
Tatizo gari za Korea ni left hand ,gari Kama Kia Sorento, Hyundai Santa Fe ni left hand drive ila ni gari nzuri Sana.
Nadhani ungewapelekea mawakala wa Hyundai, ambao ni FK Motors. Ingawa nao wanamapungufu yao Hyundai Sentafee lakini watakusaidia.Kama kichwa cha habari hapo juu, naleta mjadala je kuna mafundi wa Hyundai Tanzania?
Mafundi wa hizo gari wapo wa kutosha ila huwezi kuwapata chini ya mwembe,
hahahaha Hyundai kweli ndio yakuchachafya watu..broo maisha umebadilika sana now days harafu hakuna cha ajabu kwenye hizo gari zaidi labda spare ..kwanza huwa nashangaa kama maagizo magari ya milion 10 mnashindwaje kuagiza spare za milion 2 au 3 ..shida kubwa huwa ni spare na sio mafundi kwa sasaUnamjibu kirahisi as if hizi gari ni common sana. Mpaka miaka ya hivi karibuni watu wamekuwa wakilalamika na mafundi wa magari ya Nissan, tena Xtrail tu, sembuse Hyundai. Sijaribu kusema hakuna mafundi nadhani si wengi. Niko tayari kujuzwa zaidi
hahahaha Hyundai kweli ndio yakuchachafya watu..broo maisha umebadilika sana now days harafu hakuna cha ajabu kwenye hizo gari zaidi labda spare ..kwanza huwa nashangaa kama maagizo magari ya milion 10 mnashindwaje kuagiza spare za milion 2 au 3 ..shida kubwa huwa ni spare na sio mafundi kwa sasa
Mbona hyundai ni gari za kawaida sana mzee sema tu still now spear zake bado ni za kutafuta sanaKama kichwa cha habari hapo juu, naleta mjadala je kuna mafundi wa Hyundai Tanzania?