Wewe ndyo fala!!
Kwan n lazima!! Mwili wangu unilazimishe kuchoma yann!!
We choma kausha!!
Ingewekwa kama chanjo nyingine kungekua hamna kelele!!... ushasikia watu wanalalamika kuhusu chanjo ya homa ya ini au manjano!!?
Katiba tunahitaji sawa lakini twende taaratibu!!
Na kuna watu wanazani katiba ikibadilishwa kana kwamba ndo suruhisho la mambo yote!!
Natoa onyo mnajidanganya sanaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.