miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,414
- 10,970
Love is hard. It hurts a lotKabisa mkuu,yani stress nilizo nazo hapa ndomaana tunakufa mapema.Kuna muda nilikuwa na wife tunapiga story sebuleni mkao tuliokaa na menenao anayozungumza unaona kabisa huyu mwanamke ananipenda,yani hapo ndo natamani kuchanganyikiwa kabisa nikifikiria akijua ataumiaje?
Anajaribu kunichekesha ila akili haipo kabisa.