Recent content by Three idiot

  1. Three idiot

    Must see Movies

    Thanxxxxx
  2. Three idiot

    Nyimbo gani nzuri za kusikiliza ukiwa na maumivu ya kuachwa?

    Aiseee.....mm naombeni nyimbo za ku bang za club ukiachwa afu ukisikiliza za kuhuzunisha unazid kuumia ckiliza kitu cha kukuchangamsha
  3. Three idiot

    Naomba aliye elewa anieleweshe!

    *TAARIFA KWA UMMA* *KUFUNGULIWA KWA MFUMO WA PAMOJA WA UDAHILI KWA KIPINDI CHA MACHI/APRILI, 2017 KWA MWAKA WA MASOMO 2016/2017* *Baraza la Taifa la Elimu ya Ufundi (NACTE), linapenda kuutangazia Umma na wadau wote wa Elimu nchini, kuwa mfumo wa Udahili wa pamoja yaani “Online Central...
  4. Three idiot

    Ajira ni ngumu jamani

    Hili nalo neno....ndo maana nime post uzi mwingine ktk forum ya biashara.... nataka kwenda singida nikanunue mayai ya kienyeji.....bt kuna mambo kadhaa yananitatiza nimeomba ushauri huko
  5. Three idiot

    Vitu gani vya kuzingatia hasa unapofanya biashara ya uuzaj wa mayai ya kisasa?

    Jamani nimekosea kupost nn mbona sipati maoni yenu???......and naongeza maswali nitajuaje yai nzima na bovu ..... kuna anayejua garama za usafirishaji kutoka singida mpaka Dar mfano nasafirisha trai 10?
  6. Three idiot

    Ajira ni ngumu jamani

    Ndugu mm nimeambiwa nikajitolee kwenye duka la wachina sasa cjui kwa experience hapo napatana nn..... labda kwenye connection ndo naamini nitapata
  7. Three idiot

    Vitu gani vya kuzingatia hasa unapofanya biashara ya uuzaj wa mayai ya kisasa?

    Naomba kujua namna ya kufanya biashara ya mayai kutoa singida nakuleta Dar... jinsi ya kupaki bila kuvunjika,
  8. Three idiot

    Mtaji wa Tsh. Milioni 1 hadi 5: Naweza kufanya Biashara gani Tanzania?

    Soko lake vp? Yani unauzia wapi? Mteja mmoja mmoja au unapeleka sokoni moja moja?
  9. Three idiot

    Ajira ni ngumu jamani

    Aisee asanten ngoja niende tu nitajua itakavyokuwa mbele kwa mbele..... maana kukaa home cku nzima kunachosha sanaaaaaa
  10. Three idiot

    Ajira ni ngumu jamani

    Naomba kujua experience zenu, Ulishawahi kuomba kazi sehemu iwe office, kampuni, au eneo la biashara alafu unakubaliwa kazi but kwa kutokulipwa mshahara yani unaambiwa kama unataka kujitolea sawa but for now hatuwezi kukulipa. So unajigharamia nauli na chakula mwenyewe, naombeni experience...
Back
Top Bottom