Recent content by thom71

  1. T

    Majeruhi wa moto wa petroli wasimulia

    Wewe ya watu zaidi ya watano umeipata wapi tujuze, tusikalie maneno yasiyo na tija Msiba utauficha Vipi? Nani aliwaambia waibe mafuta kila siku tunaambiwa hatusikii.
  2. T

    Madereva wa mabasi ya mikoani wagoma Ubungo!

    Kama kweli ni madereva sahihi waliohitimu kweli udereva kwanini hawataki kukaguliwa? Vyeti fake watakuwa nacho hao lazima serikali isimamie hilo kuwabaini wenye vyeti magumashi.
  3. T

    Nimesikitishwa na kauli ya Clouds FM

    UKAWA ndio nini hapa Tanzania?
  4. T

    Zembwela awaponda UKAWA

    Hawa UKAWA ndio nani hadi mnavunjiana heshima humu mmekosa kazi za kufanya. Naona mnawajadili watu waliokwisha shiba na familia zao.
  5. T

    NHC ni bomu litalolipuka ndani ya miaka miwili hadi mitano

    Yah! Hii kitu ina maana sana! Nyumba zinazojengwa na NHC kweli hazisaidii kwa walio na kipato cha chini. Gharama zake ni kubwa mno na hazilingani na pesa zinazotakiwa kulipwa.
  6. T

    Mengi na gesi ya Mtwara

    Amepewa vingapi ameishia kuuza na kufanya udalali na kudanganya watanzania kwa misaada ya pipi. Kuwa makini na unacho danganyiwa kili kitu niko wazi Kwanini asiende kuchukua kitalu? Anaishi kulalamika kwenye media.
  7. T

    Ajali ya bus la Najmunisa

    Baadhi ya picha
  8. T

    Ajali ya bus la Najmunisa

    Basi la Najmunisa limepata Ajali jana asubuhi maeneo ya Shinyanga lilikuwa likitokea Mwanza kuelekea Dar es salaam. Ajali imetokea Kama kilometa tatu kutokea stendi ya Shinyanga Chanzo cha Ajali inasemekana tairi ya mbele ilipasuka na kumshinda dereva hivyo kupelekea Basi Hilo kupinduka. Hadi...
  9. T

    Mgomo wa mabasi ya abiria Singida!

    Kuna mgomo wa mabasi ya abiria yapitayo Singida! Tunatembea kwa mwendo wa harusi kwa kufuatana tokea Mwanza tutapofika Singida nitawajuza vizuri maana inasemekana dereva mwenzao alipigwa na askari hadi kuvunjwa mkono hapo njiani Singida
  10. T

    Ajali mbaya ya gari na pikipiki, barabara ya Chalinze - Segera

    Inasikitisha sana kwa kweli naona kama watu watatu hapo!
  11. T

    Mume wa mwimbaji Injili adaiwa kumbaka shemejiye

    Mmh! Hapo tena ni majanga. Haya makanisa ya kisasa ni hatari sana inabidi tier makini na ndoa zetu!!
  12. T

    Picha na Maelezo; Mkutano wa Godbless Lema Arusha

    Anaingiza posho huyo we piga kelele tu sijui nyumbani kwako umeacha nini!
  13. T

    CHADEMA inachanganya

    Komaa mwenyewe hadi kieleweke wewe unasubiri cdm tu!
  14. T

    Ajali Morogoro boda boda agongwa na gari avunjika mguu

    Pole sana! Hilo ni tatizo sugu kwa madereva wa bodaboda wanaona Gari imesimama inapisha gari ingine au waenda kwa miguu wao hulazimisha kupita bila kujua athari zake ndio ajali hizo mara nyingi zinatokea bevy waache ujinga huu .wanapaswa kujiuliza kwa nini Huyu wa mbele amesimama nawe simama...
  15. T

    Watu watano wameuawa na wengine kujeruhiwa igunga tabora

    Tatizo mnapiga kelele za bure katiba ya nchi yetu haiwatambui wafugaji ndio maana kila siku wafugaji wanaonekana ni wava mizi wa ardhi.
Back
Top Bottom