Zembwela awaponda UKAWA

Zembwela awaponda UKAWA

Hihihihihi yaani sasa hivi toka wameanza hawa jamaa wa UKAWA kila kitakachosemwa kikiwa against them unaonekana huna akili mvuta bangi jamani ndugu zangu kwani hao wanaounda UKAWA wao ni MUNGU kwamba they are always right ifike wakati tuwekwe wazi is there any else behind this ambacho tutafaidika wote watanzania apart from what they are always talking. Mimi nasema kwenye maandamano ni haki yetu sote kikatiba katika kushinikiza maslahi ya wote lakini sio kila kitu cha UKAWA tulaimishane ni sahihi, maoni na maswali juu masuala ya UKAWA yatujengee uelewa na ujasiri na sio kulazimishana kuelewa ilhari kuna visiri.
 
Ndugu mtoa uzi, elewa kitu kimoja, njaa kali sana hapa mjini. Zembwela atakuwa katumwa kapewa kitu kidogo, ila siku yake ikifika atanyooshwa na kusahaulika.
 
Hakuna Vijana wajinga kama wa Bavicha yani wao wanaamini UKAWA ndio baba na Mama yao na wala UKAWA hawakosei!

Ni ujinga kila siku kuwasema watangazaji kisa wanasema msio yapenda! Kwani nyie UKAWA ni Malaika?

Hivi nani aliwadanganya kila mtanzania ana unga mkono huo uchafu wa UKAWA?

Hongera Zembwela!
 
Yeyote anayeipinga Ukawa si mzalendo,na kuna uwezekano akili yake haiko sawasawa
 
Nlishayaxema ya huyu zembwela na kibonge cjui kibonde. Nkaonekana na kashfu, tatizo shule hawajaenda. Utangazaji ni kipaji ila shule muhimu.
 
Hihihihihi yaani sasa hivi toka wameanza hawa jamaa wa UKAWA kila kitakachosemwa kikiwa against them unaonekana huna akili mvuta bangi jamani ndugu zangu kwani hao wanaounda UKAWA wao ni MUNGU kwamba they are always right ifike wakati tuwekwe wazi is there any else behind this ambacho tutafaidika wote watanzania apart from what they are always talking. Mimi nasema kwenye maandamano ni haki yetu sote kikatiba katika kushinikiza maslahi ya wote lakini sio kila kitu cha UKAWA tulaimishane ni sahihi, maoni na maswali juu masuala ya UKAWA yatujengee uelewa na ujasiri na sio kulazimishana kuelewa ilhari kuna visiri.
Ni wajinga hawa bavicha wana lazimisha nchi nzima wawe UKAWA!
Na hakuna mtu atakaye waruhusu kuandamana!
 
Nlishayaxema ya huyu zembwela na kibonge cjui kibonde. Nkaonekana na kashfu, tatizo shule hawajaenda. Utangazaji ni kipaji ila shule muhimu.
Kwa hiyo wewe uliye kwenda shule kuwazidi Zembwela na Kibonde ndio hivyo ulivyo fundishwa kuandika?

Kwa hiyo mtu akipinga UKAWA au kusema kisicho wafurahisha basi hajakwenda shule?

UKAWA ni takataka gani?
 
Hawa UKAWA ndio nani hadi mnavunjiana heshima humu mmekosa kazi za kufanya. Naona mnawajadili watu waliokwisha shiba na familia zao.
 
Zembwela si yule comedian au kuna zembwela mwingine?? Aisee mnampa chati mno huyu mchekeshaji.
 
Ukawa,ukawa,ukawa. Wafuasi wako vichwa maji. Ukisifiwa na kichaa wao wamwona mwerevu,ukionywa au kupingwa na werevu basi wanaonekana idiot. Na mwaka huu andamaneni,Mtapigwa tu. Vyombo vya habari vimejishtukia kuona vinasapot ujinga.

Exactly
 
Eti ukawa ! This ukawa is unwanted in our country and I really dislike it. Majority wa watu wa Ukawa mambo yao ni vurugu tupu? Yaani wanaboa sana.

we mende tu,wa choon,na mtakua na id nyng mkidhawm ndo kuiokoa ccm
 
Last edited by a moderator:
Zembwela alishaathirika nakutema pumba enzi za kuigiza sanjali na kula ndumu kwa hiyo usitegemee katika kinywa chake pakatoka maneno yenye busara achilia mbali kuwa yawezekana katumwa kufanya hivyo...
 
Aangalie mwenzie Kibonde yupo wapi
 
Zembwela.gerlad hando.babra hassan.mbwiga hawajui chochote siku zote wako kunyime na watu wengine,watu wanapinga ushoga wao.wanatetea.
 
mbona waandishi wa habari wa tanzania daima hamuwasemi hivi wanapoaandika mambo ya kichadema?? tuu,na kwanini kila mtu nyie mumlazimishe kuamini ya kwenu hata kama sio sahihi??Nauwalakini na mitazamo yenu,nadhani mtakuwa na uwelewa mdogo katika siasa na demokrasia kwa ujumla

Jiongeze fahamu kidogo mkuu!Kuna vyombo vya habari ambavyo vipo mlengo fulani vinajulikana.Mfano magazeti fulani huwa yapo upande wa chama fulani,huwezi kukuta watu wanalalamika eti kwa nini gazeti lile limekiponda chama changu.

Lakini kuna vyombo vingine vya habari ambavyo sisi wananchi tunaamini havijafungamana na upande wowote wa chama cha siasa,sasa kinapoanza kuegemea upande mmoja wa chama na kuanza kuponda vyama vingine;ndo unakuta watu wanaanza kuchukizwa na hali hiyo kama ya huyu ZEMBWELA!
 
Back
Top Bottom