Iwaamini wazawa? Nyerere alitaifisha viwanda na akajenga vingine vipya akaanzisha na mashirika ya umma kibao, yako wapi? si aliwakabidhi wazawa?
Dunia ya sasa si kama ya Nyerere, ya kupewa tu na kujaribiwa kama utaweza au huwezi, dunia ya leo unawekewa vigezo, umeviweza unaambiwa haya chukuwa eneo kafanye kazi, umeshindwa vigezo utaweza kweli kuifanya hiyo kazi? Maawee!
Hebu lamba laiki yako kwakweli