Nakubaliana na wewe kabisa, Nani kama mama ni msemo wa watoto. I have seen my father suffer, I have seen him stressed for his family. Wazazi wote wana thamani sawa. Exception ni chache sana ambazo baba alikimbia/alikwepa majukumu
1. Huduma umepata halafu hutaki kulipa, We unaona ni sawa? Kufa kwa mtoto baada ya kujifungua chimbuko lake si kukosa pesa, bali ni changamoto za uzazi au mtoto aliyezaliwa kuwa na changamoto kama vile kisukari cha kurithi n.k.
2. Kama ingekuwa pesa ndio chanzo cha kujifungua salama nadhani...
Hili suala lako wakati ajira zote zipo chini ya sekretarieti ya ajira halikuwepo kabisa. Mimi binafsi sina connection na yeyote na uongozi wala si mwanachama wa chama chochote cha siasa lkn nilipata kazi ofisi nzuri tu ya serikali. Kwa sasa hivi kwa mfumo wa taasisi kuajiri zenyewe utaleta...
Wahehe shida yao kubwa ni kutobebana kutokana na tabia zao za kufuata ethics za kazi. Mhehe anapenda sana kuheshimu sheria, kanuni na miiko iliyowekwa. Pia mhehe, ana "umimi", kupenda aonekane yeye kama yeye. Sifa nyingine ya Mhehe ni mtu anayeweza kuaminika.
Kwa mshahara pekee wa Ofisa wa kawaida Serikalini (Halmashauri na Wizarani) ambaye hana madaraka ya ukuu wa Idara kufikia mshahara take home 1.3 ni umekaa not less than 15 years. Kwa pato hilo pia majukumu, inabidi ujenge nyumba ya kawaida sana laaa sivyo kazi unayo, unaweza usimalize
Inategemea ukubwa wa nyumba. Ila kwa nyumba ya vyumba vitatu sebule jiko na dining, Hiyo hela utaishia kwenye kukamilisha boma lililoezekwa, kuwekwa magrili, kuwekwa mfumo wa awali wa umeme na maji. Kwenda zaidi ya hapo, sidhani.
Mimi nilikuwa muhanga wa tatizo hili kwa zaidi ya miaka kumi, Nikaponea You tube kwa mdada fulani alikuwa anafundisha tiba simple sana.
Chukua Colgate ile dawa ya mswaki, Kisha chukua maji ya limao na mafuta ya nazi, changanya hadi upate mchanganyiko mzuri. Vipimo iwe ni ujazo sawa kwa kila...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.