Recent content by Thesis

  1. Thesis

    Maisha yangu nimeyaharibu mwenyewe

    Upo sahihi kabisa. Nani kama mama ni msemo wa kipuuzi, huwezi ku-generalize.
  2. Thesis

    Maisha yangu nimeyaharibu mwenyewe

    Nakubaliana na wewe kabisa, Nani kama mama ni msemo wa watoto. I have seen my father suffer, I have seen him stressed for his family. Wazazi wote wana thamani sawa. Exception ni chache sana ambazo baba alikimbia/alikwepa majukumu
  3. Thesis

    Mwanamke usibebe mimba kama huna 1.5M uliyoi-save kama akiba ya dharura mwenyewe

    1. Huduma umepata halafu hutaki kulipa, We unaona ni sawa? Kufa kwa mtoto baada ya kujifungua chimbuko lake si kukosa pesa, bali ni changamoto za uzazi au mtoto aliyezaliwa kuwa na changamoto kama vile kisukari cha kurithi n.k. 2. Kama ingekuwa pesa ndio chanzo cha kujifungua salama nadhani...
  4. Thesis

    Mnaotafuta kazi serikalini, zingatieni hili mtanishukuru

    Hili suala lako wakati ajira zote zipo chini ya sekretarieti ya ajira halikuwepo kabisa. Mimi binafsi sina connection na yeyote na uongozi wala si mwanachama wa chama chochote cha siasa lkn nilipata kazi ofisi nzuri tu ya serikali. Kwa sasa hivi kwa mfumo wa taasisi kuajiri zenyewe utaleta...
  5. Thesis

    Life begins at 40 Vs Midlife crisis

    Umeongea ukweli. Kiukweli kabisa kwa pato halali kwa kundi kubwa hapa bongo bila 50+ hutoboi
  6. Thesis

    Wahehe waliwahi kuwa kabila lenye ushawishi na nguvu kubwa nchini. Ni kitu gani kimepeleka anguko lao?

    Wahehe shida yao kubwa ni kutobebana kutokana na tabia zao za kufuata ethics za kazi. Mhehe anapenda sana kuheshimu sheria, kanuni na miiko iliyowekwa. Pia mhehe, ana "umimi", kupenda aonekane yeye kama yeye. Sifa nyingine ya Mhehe ni mtu anayeweza kuaminika.
  7. Thesis

    Je, ni kweli January Makamba na Maharage Chande waliamuru maji yafunguliwe na kumwagika kwenye bwawa la Mtera?

    Aliyekwambia na yeye kaambiwa. Yaan ni uzushi juu ya uzushi
  8. Thesis

    Ushauri: Nisome Masters UDOM au Jordan University?

    Ni kweli UDOM unapewa Supervisor wawili
  9. Thesis

    Ni mkakati wa kumuangusha Rais Samia kisiasa?

    Hii ni hisia, huna ushahidi
  10. Thesis

    Kujenga ukiwa tayari una familia si mchezo

    Kwa mshahara pekee wa Ofisa wa kawaida Serikalini (Halmashauri na Wizarani) ambaye hana madaraka ya ukuu wa Idara kufikia mshahara take home 1.3 ni umekaa not less than 15 years. Kwa pato hilo pia majukumu, inabidi ujenge nyumba ya kawaida sana laaa sivyo kazi unayo, unaweza usimalize
  11. Thesis

    Je, kwa Tsh Milioni 40 tu GENTAMYCINE 'nikijibanabana' naweza Kuitumia Kukamilisha yafuatayo?

    Inategemea ukubwa wa nyumba. Ila kwa nyumba ya vyumba vitatu sebule jiko na dining, Hiyo hela utaishia kwenye kukamilisha boma lililoezekwa, kuwekwa magrili, kuwekwa mfumo wa awali wa umeme na maji. Kwenda zaidi ya hapo, sidhani.
  12. Thesis

    Ni kosa gani ulilifanya kwenye ujenzi wa nyumba yako na usingependa wengine walirudie?

    Mimi niliwema bajeti ya 5m msingi kwa maneno ya jamaa yangu, kiuhalisia ilikuja kama 7-8M.
  13. Thesis

    Kwa tabiri hizi, CCM tukiendelea kumchekea Rais Samia soon tutageuka kuwa wapinzani!

    Kwani kuna shida yoyote upinzani kushinda kihalali? Watanzania ndio wanapaswa kuamua chama kipi wakipe madaraka
  14. Thesis

    Uzi maalumu wa Mimea Tiba inayotuzunguka majumbani

    Mimi nilikuwa muhanga wa tatizo hili kwa zaidi ya miaka kumi, Nikaponea You tube kwa mdada fulani alikuwa anafundisha tiba simple sana. Chukua Colgate ile dawa ya mswaki, Kisha chukua maji ya limao na mafuta ya nazi, changanya hadi upate mchanganyiko mzuri. Vipimo iwe ni ujazo sawa kwa kila...
Back
Top Bottom