Wakuu kwema?
Kwa wenye watoto wadogo miaka 2 mpaka 5 ni application gani nzuri unatumia kwa ajili ya mwanao? Kwa maana kwa zama hizi za tech mtoto huwezi kumzuia moja kwa moja kutumia simu kwa hiyo angalau akishika smart phone yako kuwe na kitu cha msingi anaangalia na kujifunza. Kwahiyo...
Habari wadau. Kuna kitu huwa kinanitatiza kuhusu ubora wa mafuta ya gari kwenye vituo vyetu. Je hivi vituo (petrol station) zina mafuta yenye ubora sawa au kuna ambao mafuta yao yana mapungufu? Maana kuna vituo wanauza bei ndogo sana ukilinganisha na wengine, kingine Unaweza weka mafuta sehemu...
Habari wana JF. ninaomba yeyote anayejua daktari wa mifupa anifahamishe tafadhali miguu ndio inasumbua, au hospitali ambayo nitapata matibabu mazuri. Kuna daktari nimeelekezwa pale Muhimbili ila schedule yake ni ngumu sana appointment yake ni zaidi ya wiki mbili ndio umuone nami nahitaji...
Habari wana jamvi Kuna hili swala ambalo najua sio geni miongoni mwenu na pia nimelisikia kwa muda toka muda mrefu achilia mbali kulishuhudia.
Ni kuhusu mama mjamzito anapopata tu hiyo mimba basi anakuwa na tabia tofauti na alizokuwa nazo awali, mathalani kupenda chakula cha aina fulani au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.