Recent content by THEO LYIMO

  1. T

    Maandamano, mkutano wa CCM/Nape Njombe

    Nape bwana asifiwe najua wewe ni mpendwa mwenzangu siasa isikutenganishe na mungu kwa kufanya mambo kinyume na ukristo ni kweli mamboni magumu na kusema dokta feki da nape nidhambi chunga au uchague umaarufu na pepo haya
  2. T

    Rais Kikwete apangua Baraza la Mawaziri

    Mwanri tamisemi naibu wengine hawa julikani kabisa nyarandu naibu mali hasili
  3. T

    Rais Kikwete apangua Baraza la Mawaziri

    Nchimbi mamboya ndani chizakilimo magembe maji mwakembe uchukuzi kagashe utali kigoda-biashara
  4. T

    Rais Kikwete apangua Baraza la Mawaziri

    Wasira mkuchka ndani hawa ghasi tamisemi
  5. T

    Rais Kikwete apangua Baraza la Mawaziri

    Jk baada ya maji kukaa kooni anatanga za baraza jipya la mawaziri subiri updates
  6. T

    CHADEMA yaandaa mapokezi ya kifalme kwa Millya

    Wapenda kama kijana ninayejua kidogo siasa napenda kusema hakuna mtu asiyeruhusiwa kujiunga na chama chochota cha siasa kwa sababu ametoka chama kingine sasa mimi nawasha ngaa sana watu wanao mkataaa millya kwanza ni kijana anayejiaamini sana kutoka magamba jamaini si kazi rahisi hata lowasa...
  7. T

    Lulu: Sina bwana mchumba wala boyfriend

    Si malaya? hapo alikuwa kibiashara zaidi, ni mambo ya short time hayo, ndiyo maana kamuua Kanumba! labda walishindwana bei! malaya anakuwa nawe halafu unamzuia kuongea na bwana mwingine si lazima pachimbike hapo?
  8. T

    Dina marios na harufu ya uke....live clouds fm

    Dinna mwenyewe mbayaaaa! sijui atakuwa na boyfriend au? boyfrien wake atakuwa na wakati mgumu wa kumvutia hisia! mwanamke kama mwanaume bwana?
  9. T

    Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

    Watanzania bwana! yaani ugumu wa maisha hauwajalishi wanapoteza fahamu sababu ya maigizo! Hii nchi ilitakiwa iwe kwenye sayari nyingine Waallah! sijui ni mwenge unatupumbaza au?:shetani::shetani::shetani:
  10. T

    Tanzanian actor Steven Kanumba reported dead

    JB zaidi ya wote. sema labda sababu ya kitambi tu !
  11. T

    Kauli ya Nape Juu ya Arusha na Tafsiri Yangu

    Nape kama kuna kijana mwanasiasa alikuwa wa ccm alikuwa anaanzakuheshimika alikuwa ni wewe hasa kupambana na nec ila kwa hili la arusha ndugu yangu litakuaipisha mwana serous we tulia ila arusha napajua ni pabayaa sana nilikusikiliza pale makumira alafu nikalinganisha na ulivyo kubalikushindwa...
  12. T

    Siyoi Sumari afunika USA River, Chadema wapoteza dira kuwaza Urais wa Zitto Kabwe 2015

    Emmy usifanye hapa jf ni kwa propaga ganda zako upo wapi kwanza wewe nimesema kama upo arumeru ndo uzungumze
  13. T

    Hali ni tete; JK kutua Arumeru Jumanne

    nimesema kama uko arumeru ndo uzungumze JF so ya kuzungumzia chumbani jamii inakusoama mwana
Back
Top Bottom