Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Mpokeeni lakini angalieni asijekuwa katumwa. Kunanini mpaka amuache fisadi papa ambaye alikuwa nae kwa muda mrefu (EL) mpaka ahamie CHADEMA?
Huyu samaki yungali mbichi anakunjika. Akiharibu anatimuliwa tu.