Mgombea wa CCM Sioi Sumari ameendelea kukonga nyoyo za wana Arumeru leo baada ya kuhutubia maelfu na maelfu ya wananchi wa Arumeru leo na kuvunja rekodi kabisa ya Chadema katika mji wa USA River hii leo.
Wakati huohuo Viongozi wa Chadema wamepoteza munkari ya kuendelea kunadi sera za chama chao kutokana na kauli nzito iliyotolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho Zitto Kabwe ya kutangaza kuwania nafac ya Urais wa Tanzania kupitai chadema 2015. Vilevile wanachama na mashabiki wa chadema wameendelea kugawanyika katika makundi makuu mawili moja likimuunga mkono muasi Zitto Kabwe na lingine likumuunga Mkono Slaa a.k.a Wade wa bongo hivyo timu ya kampeni imeshindwa kujipangilia kabisa na kufanya mikutano ya leo na jana kupwaya sana.
CCM tunaendelea kuchanja mbuga, Chadema endeleeni kugombania Uraisi
Wakati huohuo Viongozi wa Chadema wamepoteza munkari ya kuendelea kunadi sera za chama chao kutokana na kauli nzito iliyotolewa na Naibu Katibu Mkuu wa Chama hicho Zitto Kabwe ya kutangaza kuwania nafac ya Urais wa Tanzania kupitai chadema 2015. Vilevile wanachama na mashabiki wa chadema wameendelea kugawanyika katika makundi makuu mawili moja likimuunga mkono muasi Zitto Kabwe na lingine likumuunga Mkono Slaa a.k.a Wade wa bongo hivyo timu ya kampeni imeshindwa kujipangilia kabisa na kufanya mikutano ya leo na jana kupwaya sana.
CCM tunaendelea kuchanja mbuga, Chadema endeleeni kugombania Uraisi