Recent content by Thegreat Mahela

  1. T

    GE2020 EXCLUSIVE: Maswali kwa Mgombea Urais wa JMT, Tundu Lissu kutoka kwa Watanzania watumiao mitandao ya kijamii

    1. Mh Lissu unaweza ukaelezea ni kwanini uchaguzi wa mwaka huu (2020) umeuita kama uchaguzi wa kufa na kupona ? 2. Moja kati ya nyimbo za kampeni zako unasema "Lissu tuvushe" kwa nadharia hiyo hiyo kwanini Lissu na sio Mtetezi wa Wanyonge John Pombe Magufuli? 3. Kauli ya "Lissu ni kibaraka wa...
  2. T

    Edward Lowassa hukukidhi kiu ya wanawake!

    We c mwanamke nahic
  3. T

    UKAWA unaijenga CCM zaidi kuliko kuibomoa

    hujui usemalooo najua dozi inawaingia vizuriii maccm...tulieni ivo ivo... msigwa ni dozi tposhaaaaa mana habari mnayoooooooooooooo
  4. T

    UVCCM yamvaa Lowassa, wasema watamnyosha

    haha ha ha ni utoto tu subirini october nyie vijana acheni nchecheto..ni mdogo mdogo lowasa oyeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
  5. T

    CUF: Taarifa kwa waandishi wa Habari juu ya Kujiuzulu Mwenyekiti Prof. Lipumba

    Mimi Thegret mahela tatizo langu kubwa kwa Lowassa lilikuwa ni ufisadi wa Richmond uliotafuna zaidi ya shilingi bilion 172 za wananchi. Baada ya kusikia kauli yake alipohojiwa na wanahabari siku alipojiunga na CHADEMA, na baada ya kujiridhisha kuwa kama alikuwa amehusika na ufisadi wa...
  6. T

    Kutoka Kariakoo: Watu waliovalia mavazi ya CCM wazomewa na machinga

    Litoeeeeeeniiii jamani tumechokaaaaaaa
  7. T

    Ebu jaribu kusoma labda utajionea huruma na kuwahurumia wale wanaoteseka katika nchi hii ya Tanzania

    Nilipokuwa nasoma uzi huu, nlitamani sana kulia lakini nikapiga moyo konde na kujifariji kuwa watanzania wanaoteseka kama mimi watauelewa na mwaka huu wataonesha kuwa wamechoka na mfumo mbovu wa CHAMA TAWALA(CCM). Napenda kusisitiza kuwa kama UKAWA wataungana kwa pamoja, mwaka huu basi utakuwa...
  8. T

    Kama Lowassa alitabiriwa na TB Joshua kuwa Rais TZ, Iweje sasa atumie Pesa kukampenia Urais?

    clip ziko wapi ,,support hoja yako yako na empirical evidences
  9. T

    Kazi inaanza na majeshi yapo imara

    vita kama vya chelsea jaman jaman ni shdaaaa!!!!!
  10. T

    Majina yanaposomwa Kinyume Nyume

    ha ha ha aha a et mbuzi mtamu!!!!
  11. T

    Majibu ya Zitto kwa Wana-CHADEMA

    keep it up man mzalenndo wa kweli sambaza upendo wa ACT wazalendo
  12. T

    Tahadhari: Mazoezi ya Al-shaabab ndani ya Dar es Salaam

    We mbona ni boyaa aisee si ukal;ipoti polisi aiseee
  13. T

    Picha: ACT-Wazalendo Waitikisa Songea

    Chadema mwaka huu lazima mukionje kikombe cha babuuuuuu!!!!!!! napita tuuuu...
  14. T

    Diallo: Rais ajaye awe dikteta mzalendo

    nakuunga mkono mkuu coz tunahitaji kiongozi dikteta kidogo aisee mwenye maamuzi kamili na siyeyumbayumba na kuteteleka mwenye misimamo ya kweli lakini zaidi ya yote mwenye uwezo wa kukamata majizi majizi yote yanayoifilisi Tanzania yetu kila kukicha....
Back
Top Bottom