Recent content by theexalted

  1. theexalted

    Human resource management

    Chief.. Nimekupata na nashukuru kwa ushauri wako mkubwa.. Sent from my BlackBerry (aaron jeremiah)
  2. theexalted

    Human resource management

    C mbaya..ni maoni yako na ninayaheshimu.. Sent from my BlackBerry (aaron jeremiah)
  3. theexalted

    Human resource management

    Ni matumaini yangu kuwa nyote mko poa.. Nimechaguliwa kujiunga na course ya human resource management katika chuo cha institute of social works~Dar but sijiamini kama ntatoka kupitia course hiyo..naombeni usauri wenu wadau.. Sent from my BlackBerry (aaron jeremiah)
  4. theexalted

    Teknolojia ya kutisha ya Iran, yaishusha Drone Nyingine ya Marekani kama yao vile.

    Nice..keep it up Iran. Tuache cc wabongo coz viongozi wetu ni tegemezi wa kila kitu...hata gobore tunaagiza bado..
  5. theexalted

    Zitto Kabwe akerwa na members wa JF kujadili mauaji ya kidini

    Kulikomboa taifa dhidi ya vita ya udini ni suala linalotegemea sana hawa viongozi wa dini...NASEMA HIVI KWA SABABU UKIJARIBU KUYACHUNGUZA MAWAIDHA/MAFUNDISHO YA BAADHI YA VIONGOZI HAO,YANAPANDIKIZA CHUKI NA UHASAMA MIONGONI MWA WAFUASI WA DINI HIZO....SULUHU YA KUEPUKANA NA "ULEVI" WA DINI,IPO...
  6. theexalted

    Wapi Lulu?|Elizabeth michael

    nimesikia wamempa mdhamana hivi karibuni...
  7. theexalted

    Wapi Lulu?|Elizabeth michael

    !!! Cna usemi kwa hilo..
  8. theexalted

    WEMA SEPETU mtoto wa kiislam huyupo hivyo!

    ''WEWE'' ndo unamfanya kuwa famous..Kuwa kama humuoni alaf 2one kama utackia tena story za huyo ''UBAYA''
  9. theexalted

    Wapi Lulu?|Elizabeth michael

    Sina update yoyote kuhusiana na hili hata vyombo vya habari navyo vimezima! Nini hatma ya huyu mtuhumiwa?
  10. theexalted

    Decoder ni Kisimbuzi na sioi King'amuzi

    Nashukuru kwa kuniongezea maarifa
  11. theexalted

    Madhara ya kuangalia Picha/Video za Ngono kwa Wanaume na Wanawake

    Dah! Acha niendelee kusoma comments kwanza...
  12. theexalted

    Hello!

    Naamini huu ni umoja wa wamoja na hapa ni mahali pa kupata maarifa pia! Nimeshakaribia.
Back
Top Bottom