Recent content by The_vision

  1. The_vision

    Nauza laptop yangu hii bado nzuri kabisa

    Mashine inauzwa bei kitonga sana, wahi kabla haijachukuliwa Device: Renovvo Processor - 2.16 GHz RAM - 4GB EDITION - Window 10 pro Version - 22HZ CONDITION: Used like New BEI : 250,000 (njoo tuongee) 0687900668 namba yangu Napatikana hapa chuoni Dar es salaam Tumaini university (DAR TU) mwenge
  2. The_vision

    Nauza laptop yangu bado mpya mpya

    Laptop bado ipo
  3. The_vision

    Nauza laptop yangu bado mpya mpya

    Inapiga kazi vizuri tu 🤝
  4. The_vision

    Nauza laptop yangu bado mpya mpya

    Mashine inauzwa bei kitonga sana, wahi kabla haijachukuliwa Device: Renovvo Processor - 2.16 GHz RAM - 4GB EDITION - Window 10 pro Version - 22HZ CONDITION: Used like New BEI : 280,000 (njoo tuongee) 0687900668 namba yangu Napatikana hapa chuoni Dar es salaam Tumaini university (DAR TU)...
  5. The_vision

    Hivi hii taarifa ni ya ukweli majina ya sensa Tabora

    Habari wana jamvi, kumekua na taarifa mbalimbali kuhusu kutoka majina ya sensa Mkoa wa Tabora, je ni kweli yametoka?
  6. The_vision

    Jifunze mbinu hii itabadilisha biashara yako mazima

    JIFUNZE MBINU HII ITABADILISHA BIASHARA YAKO MAZIMA Hata Kama umeshajiribu kila njia ya kuongeza Mauzo na umefeli...basi hiki unachoenda kukiona ndani ya sekunde 10 zijazo kitabadilisha kila kitu katika biashara yako Ukweli ni kwamba[emoji1313] Kuwashawishi watu Kununua bidhaa/huduma yako sio...
  7. The_vision

    Jinsi ya kuanzisha biashara ukiwa umeajiriwa

    Habari wa jamii forum natumai mu wazima wa afya na mnapambana kutafuta kitu cha kwenda kinywani Leo napenda niongelee kitu kimoja kwa muajiliwa anayetamani kujiajili huku akiwa kwenye ajira yake kuwa biashara yoyote iwe mpya au ya zamani ina changamoto zake especially kwenye mazingira yetu. 50%...
  8. The_vision

    Biashara inayonitengenezea millioni 10+ kwa wiki kwa mtaji wa laki 6

    Habari wanandugu wa jamii forum Leo nimeona niwakilishe biashara nayoifanya baada ya kutoka chuoni na kukosa kazi mtaani, niseme tu mapame hii sio (quick scheme) ya kuwa tajiri mapema,ama kuwa na pesa nyingi kwa mda mfupi,hii sio forex wala cryptocurrency na sijaandika kwa ajiri ya kutafuta...
  9. The_vision

    Nilikua nadaiwa songesha na M-pawa nimevunja laini sijui watanifanya nini

    Habari wana jamvi Nilikua nadaiwa songesha na mpawa nimevunja laini sababu wamekua wasumbufu hasa mpawa na nipige tafu nilikua nadaiwa 8230 Je kuna njia nyingine watayotumia kunikamata?? Naombeni ushauri
  10. The_vision

    Massive benefits of insurance provision to the society

    Massive benefits of insurance provision to the society [emoji666] Reduced variability in consumption and reduced ex ante uncertainty through insurance are benefits in themselves, but demand for insurance may be increased by certain additional benefits (Liedtke, 2007). The risk transfer function...
  11. The_vision

    Job opportunity at MDH Tabora for Laboratory Technician

    Job Title: Laboratory Technician (1 post) Location: Kaliua (St John Paul Hospital) Reports to: Facility In-charge 1. Reading, understanding, and implementing SOPs for molecular analysis of HIV drug resistance and viral load. 2. Performing daily QC checks on all laboratory processes and...
  12. The_vision

    JOBS AT MDH TABORA FOR COMMUNITY HIV TESTER

    JOBS AT MDH TABORA FOR COMMUNITY HIV TESTER OVERVIEW Management and Development for Health (MDH) is a non-profit, non-governmental organization whose primary aim is to contribute to address public health priorities of the people of Tanzania and the world at large. These priorities include...
  13. The_vision

    Happy birthday Jason Sancho, Wonder Kid

    Jadon Malik Sancho (born 25 March 2000) is an English professional footballer who plays as a winger for Premier League club Manchester United and the England national team. He is known for his trickery, game intelligence, pace and use of feints in one-on-one situations.[5] He came runner-up for...
  14. The_vision

    Kuku wangu wanakohoa, naombeni dawa

    Wafugaji wenzangu naombeni dawa,kuku wangu wamekua wanakohoa sana kama Harmonize ( khoo! Khooooh! Yaaaaw yaaaaaaw! Jeshiiiiiii ) na kusinzia sinzia kama mateja, naombeni dawa gani nitumie ili wapone
  15. The_vision

    Ummy Mwalimu: Wachangiaji damu, kupewa kipaumbele wanapohitaji damu hospitalini. Watapewa kadi Maalum

    Thread[emoji116][emoji116][emoji116] Serikali kupitia wizara ya Afya imejipanga kutoa kadi za kieletroniki kwa wachangiaji damu wanaojitolea mara kwa mara angalau mara tatu kwa mwaka. Hayo yamesemwa leo Februari 25, 2022 na Waziri wa afya Mhe. Ummy Mwalimu alipokuwa katika ziara ya kutembelea...
Back
Top Bottom