The_vision
Member
- Feb 9, 2022
- 13
- 63
Habari wanandugu wa jamii forum
Leo nimeona niwakilishe biashara nayoifanya baada ya kutoka chuoni na kukosa kazi mtaani, niseme tu mapame hii sio (quick scheme) ya kuwa tajiri mapema,ama kuwa na pesa nyingi kwa mda mfupi,hii sio forex wala cryptocurrency na sijaandika kwa ajiri ya kutafuta vichwa vya kuwapiga hela hapana,lengo ni kutoa elimu kwa kile nacho kifanya na wewe unaweza kufanya ukajifunza mtandaoni hasa(udemy,YouTube nk) ukapata elimu shuka nayo
THREAD IN A NUTSHELL
Biashara hii nayo ifanya haihitaji kutumia nguvu nyingi ila inahitaji elimu kwa sababu ukifanya kwa kukurupuka utapoteza pesa zako zote
Biashara hii inafahamikakama(DROPPSHIPPING) najua wengi wanaifahamu Ila niwachache wanaoifanya sababu inahitaji moyo sana na mda mwingi wa kujifunza hii kwa kiswahili kilichozoeleka unaweza sema kua kama(Dalali/winga) wa kuuza bidhaa za watu wengine na wewe unapata faida kulingana na wateja utakaopata
PHASE 1
Kuna majukwaa mengi ambayo utajisajili kama Ali express(hii ni maarufu zaid kwa biashara hii),amazon,eBay nk ambapo utafanya uchunguzi kuona ni bidhaa gani imekua viral sana kisha utatengeneza ecom website yako ambapo utaunganisha na na jukwaa utakalotumia kuchukua bidhaa (kwa maelezo zaidi nenda google)
Jinsi ya kupata wateja,tunatumia matangazo kutangaza bidhaa hizo mfano(tiktok ads,Facebook ads,YouTube ads,google ads,Instagram ads na kupitia watu wenye followers wengi) ambapo kwa wiki upate hata watembeleaji 10M+ kwenye site ako ambapo matangazo hayo utalipia
Jinsi ya kupata faida mfano umeona bidhaa kama (light traffick) inauzwa $12 wewe utaichukua utaiuza $20 au hta $22 kisha utaitangaza hapa kuna mawili kupata wateja wasinunue au wanunue sababu matangazo utalipia
Niseme tu unaweza ukapata faida kubwa au hasara kubwa na ukafikisika kabisa na hapa nimeeleza kwa uchache sana sana kuhusu biashara hii kwa undani unaweza jifunza au ukanunua course kwenye majukwaa yanayouza hizi course
All we gonna make it
Leo nimeona niwakilishe biashara nayoifanya baada ya kutoka chuoni na kukosa kazi mtaani, niseme tu mapame hii sio (quick scheme) ya kuwa tajiri mapema,ama kuwa na pesa nyingi kwa mda mfupi,hii sio forex wala cryptocurrency na sijaandika kwa ajiri ya kutafuta vichwa vya kuwapiga hela hapana,lengo ni kutoa elimu kwa kile nacho kifanya na wewe unaweza kufanya ukajifunza mtandaoni hasa(udemy,YouTube nk) ukapata elimu shuka nayo
THREAD IN A NUTSHELL
Biashara hii nayo ifanya haihitaji kutumia nguvu nyingi ila inahitaji elimu kwa sababu ukifanya kwa kukurupuka utapoteza pesa zako zote
Biashara hii inafahamikakama(DROPPSHIPPING) najua wengi wanaifahamu Ila niwachache wanaoifanya sababu inahitaji moyo sana na mda mwingi wa kujifunza hii kwa kiswahili kilichozoeleka unaweza sema kua kama(Dalali/winga) wa kuuza bidhaa za watu wengine na wewe unapata faida kulingana na wateja utakaopata
PHASE 1
Kuna majukwaa mengi ambayo utajisajili kama Ali express(hii ni maarufu zaid kwa biashara hii),amazon,eBay nk ambapo utafanya uchunguzi kuona ni bidhaa gani imekua viral sana kisha utatengeneza ecom website yako ambapo utaunganisha na na jukwaa utakalotumia kuchukua bidhaa (kwa maelezo zaidi nenda google)
Jinsi ya kupata wateja,tunatumia matangazo kutangaza bidhaa hizo mfano(tiktok ads,Facebook ads,YouTube ads,google ads,Instagram ads na kupitia watu wenye followers wengi) ambapo kwa wiki upate hata watembeleaji 10M+ kwenye site ako ambapo matangazo hayo utalipia
Jinsi ya kupata faida mfano umeona bidhaa kama (light traffick) inauzwa $12 wewe utaichukua utaiuza $20 au hta $22 kisha utaitangaza hapa kuna mawili kupata wateja wasinunue au wanunue sababu matangazo utalipia
Niseme tu unaweza ukapata faida kubwa au hasara kubwa na ukafikisika kabisa na hapa nimeeleza kwa uchache sana sana kuhusu biashara hii kwa undani unaweza jifunza au ukanunua course kwenye majukwaa yanayouza hizi course
All we gonna make it