Mi kuna ndugu yake mmoja ni rafiki yangu, muda mrefu tu kabla ya kufariki, alishawahi kuniambia kuwa hakuwahi kuolewa, na kuwa hakuwahi kutaka kuolewa katika maisha yake kwa sababu anenjoy maisha ya kuwa hivyo, kuwa ukiolewa unabanwa banwa sana.
Hii stratergy ni nzuri sana, tena sana. Na nchi itapata makusanyo ya kodi kubwa tu. Sema sasa wakifanya hivi, inabidi kodi zingine zote zifutwe kama PAYE, na kodi za wafanyabiashara wa ndani, ndio itakuwa fair.
Hamnaa, akaze tuu, sometimes unaweza ukaonekana uko jela kumbe uko free, na una aman moyon, na unaweza ukaonekana uko uko free mtaani, lakin kumbe umefungwa spiritually and mentally( naongelea kuhusu hivyo vyama vyao vyenye masharti lukuki)
Kuna mtu yuko Russia, ananiambia maisha yamekuwa magumu sana huko.. anasema wanaume wengi sana wanaikimbia nchi.. itafikia muda Russia atasurrender mana atakosa wapambanaji... Watu wanajificha, chakula ni cha kutafuta kimyakimya, hali tete.
Sent from my M2006C3MG using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.