The Stranger
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 274
- 252
Mi kuna ndugu yake mmoja ni rafiki yangu, muda mrefu tu kabla ya kufariki, alishawahi kuniambia kuwa hakuwahi kuolewa, na kuwa hakuwahi kutaka kuolewa katika maisha yake kwa sababu anenjoy maisha ya kuwa hivyo, kuwa ukiolewa unabanwa banwa sana.Alifiwa na mume wake 25 years or so ago!