Recent content by The strain

  1. T

    Mahesabu ya kijasusi yanakataa kwa 51% kuwa Serikali inahusika na shambulio la Lissu

    Unajuaje wamepiga mchana hadharani ili na nyie mjue si wao Sent using Jamii Forums mobile app
  2. T

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    I'm Watching Bein Sports 1 on Mobdro Mobdro — All the web’s free video streams on your Android device Sent using Jamii Forums mobile app
  3. T

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Limebuma siku nyingi Post sent using JamiiForums mobile app
  4. T

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Dah ila timu yetu Imeshabadilika tamaduni yetu ya fergie imeondoka itatuchukua miaka kama liverpool kuja kurudi tusifurahi tu haya mausajili mourihno siyo kocha Post sent using JamiiForums mobile app
  5. T

    Haji Manara alivyotoa chozi jana kuwalilia viongozi wake!

    Naona wewe ni mhafidhina
  6. T

    Haji Manara alivyotoa chozi jana kuwalilia viongozi wake!

    Mbona unaudanganya umma wa michezo Haji Manara siyo msemaji wa simba alishafungiwa kujihusisha na masuala ya michezo
  7. T

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Hakuna mchezaji hauzwi ni pesa tu wanatutega hao
  8. T

    Swali: Maji ya bahari huenda wapi?

    mbona Rahisu sana maji ya bahari yenyewe hutokana na na vyanzo vingi kama mvua na mito ila maji ya bahari huondoka kipindi cha jua kali kwa mtindo wa mvuke na kwenda kuunda mawingu ambayo husukumwa na upepo na kwenda nchi kavu napo hunyesha tena kama mvua na kuingia kwenye vyanzo
  9. T

    CRDB monthly manteinance fee from shs 1770 to 1888shs

    Kuna bank inakufa inaitwa eti ya biashara halafu kwa mwezi wanakata 3500 yani nimeikimbia mchana kweupe
  10. T

    Mtu mmoja ameiba kisanduku kilichokuwa na mabaki ya ubongo wa Mtakatifu John Bosco

    Wiki ijayo itatoka novena ya kumkamata mwizi wa ubongo
  11. T

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Je na sisi tutashinda?
Back
Top Bottom