Recent content by The Skywalker

  1. The Skywalker

    Series (Special thread)

    Halafu wameufanya upande wa serikali kuwa wa kiboya sana. Yaani vitengo vyote vya serikali hakuna hata mtu mmoja wa kum-challenge Proffesor?? Naikubali Money Heist ila hii season 4 ni kama wameishiwa story. Wamerudia yale yale ya season 1.Ila Gandia ndiye alieleta changamoto kidogo. Zaidi ya...
  2. The Skywalker

    Series (Special thread)

    Hii imekaaje wakuu?? Sent using Jamii Forums mobile app
  3. The Skywalker

    My review of a song of Ice and Fire: Game of Thrones series

    Ni series bora kwangu pia.Nimesoma na vitabu vyake.Ila mzee anaponikera ni hapo kwenye kutoa kitabu cha The Winds of Winter.Miaka inaenda na kitabu hakiishi Sent using Jamii Forums mobile app
  4. The Skywalker

    RC Makonda, Dar ni jiji la wote, vyama vyote. Mbowe sio mwanasiasa uchwara aliyefilisika, Zitto sio mshirikina. Tunakupenda, heshimu wote uheshimiwe

    Wakati mwingine mabeberu hawakosei kutudharau waafrika.Sio kwa haya matamko ya viongozi wetu Sent using Jamii Forums mobile app
  5. The Skywalker

    Salama J vs Millard Ayo: Yupi ni mkali zaidi akifanya interview na msanii?

    Salama yuko juu zaidi Sent using Jamii Forums mobile app
  6. The Skywalker

    Umeshawahi kumuwekea malengo mwanamke, mwisho wa siku ukamkuta na mimba ya mwingine??

    Hii imemtokea rafiki yangu kwa demu wake.Demu kapata mimba na kaolewa jumapili ilopita. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. The Skywalker

    Kukataliwa na kudharaulika kunavyoweza kumfanya mtu mwema akawa mtu mbaya

    Mada nzuri sana.Mfano wa hii mada niliuona kwenye Movie ya FAN ya Sharrukh Khan.Dogo mmoja alikuwa amefanana sana na alikuwa shabiki wa kutupwa wa Sharrukh Khan.Alijichanga nauli na kusafiri kwenda mjini ili akaonane na Role Model wake.Alifanikiwa kuonana na Sharrukh Khan lakini Sharrukh...
  8. The Skywalker

    Faida za Ugonjwa Wa Covid 19 Duniani

    Corona ndo kitu pekee kinachowafanya Chelsea wabaki kwenye UEFA Champions league.Corona ikiisha tu Chelsea OUT Sent using Jamii Forums mobile app
  9. The Skywalker

    Nachukizwa na hili la kujifanya mwingine wakati wa kuchat

    Mtulize kwa ujumbe murua wa Tigopesa Sent using Jamii Forums mobile app
  10. The Skywalker

    Faida za Ugonjwa Wa Covid 19 Duniani

    Doh!!Wanapukutika sana.739 ndani ya siku moja ni wengi mno.Hivi ni kwa nini Italy imeshindwa kabisa kudhibiti maambukizi?? Sent using Jamii Forums mobile app
  11. The Skywalker

    JamiiForums Usiku wa manane

    [emoji42][emoji42] Sent using Jamii Forums mobile app
  12. The Skywalker

    Faida za Ugonjwa Wa Covid 19 Duniani

    Italy wanakufa 400+ ndani ya masaa 24.Hasara zimezidi faida Sent using Jamii Forums mobile app
  13. The Skywalker

    Corona Virus: Tanzania yathibitisha kuwa na mgonjwa wa kwanza, ni raia wa Tanzania, aliwasili kutoka Ubelgiji

    Hapo ugonjwa utasambaa kwa kasi ya ajabu.Labda hii natural immunity itusaidie lakini sisi wenyewe hatuna uwezo wa kuzuia gonjwa hili Sent using Jamii Forums mobile app
  14. The Skywalker

    Hii tabia watu wanaitoa wapi?

    Hakuna umuhimu wa kulazimisha mahusiano na mtu.Kama ushajaribu kuonyesha nia ya ukaribu kisha akakataa basi ni bora kupotezea tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  15. The Skywalker

    Series (Special thread)

    Kwangu mimi 24 ni bora kuliko Strike Back.24 ina mfululizo wa matukio ambayo inakufanya ubaki kuitazama.Strike Back imekaa kimapigano zaidi bila mfululizo mzuri wa matukio. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom