Recent content by The Real Bosco

  1. The Real Bosco

    2025: CCM tengenezeni Watu wenye uwezo wa kupangua Hoja za Wapinzani, 2015 tulisaidiwa na Padre Slaa na Mchungaji Mtikila

    Kuwa mtu mzuri wa kijibu hoja lazima uwe pia mtaalam wa kusikiliza na kuelewa mantiki nyuma ya hoja unayotaka kuijibu. Ni wazi pia kuwa uwezo mzuri wa kujibu hoja ni zao la kujifunza bila kuchoka, kukusanya maarifa na kuwa na taarifa sahihi kuhusu hoja au maada inayoleta hoja. Chama kikiwekeza...
  2. The Real Bosco

    Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

    Please View, like, comment and Subscribe Sent using Jamii Forums mobile app
  3. The Real Bosco

    Baba kuingiza wanawake ndani kipindi mama amesafiri

    Sent using Jamii Forums mobile app
  4. The Real Bosco

    Drones ni muhimu sana kuzima moto

    Sent using Jamii Forums mobile app
  5. The Real Bosco

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Sent using Jamii Forums mobile app
  6. The Real Bosco

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Sent using Jamii Forums mobile app
  7. The Real Bosco

    Tufungue bongo za wanaohamia CCM! Tuangalie mafile Yao!

    Mimi nadhani tunatakiwa kama Watanzania na zaidi sana kama viumbe wenye utashi na ufahamu kuchunguza upande wa pili wa shilingi kuhusu sababu ya hizi hamam hama za watu walioaminiwa na kuonekana Imara kwa misimamo yao. Kumekuwa na hii kasumba ya kuaminishana kwa lazma kwamba mtu mwenye akili...
  8. The Real Bosco

    Kwanini Ali Kiba hatoi ngoma?

    Biashara ya Muziki imekuwa ngumu sana kwa sasa and as always, biashara hii ina mbinu za kipekee kabisa. Katika wakati huu ambapo kuna mrundikano wa wasanii wa muziki wa kizazi kipya, redio zimeghubikwa na rushwa na figisu, vituo vya televisheni viko bize na program nyingi tofauti tofauti, kuacha...
  9. The Real Bosco

    "Kati ya Wasifiaji wa Rais Wakiwemo Machawa na Wakosoaji wa Rais, Watu Critical, Nani Wanamsaidia zaidi Rais, Serikali Yake?

    Kwanza tukubaliane kwanza kwa Saikolojia ya kawaida kabisa ya Binadamu, katika kila jambo, kila mtu huwa ana upande ambao anaegemea zaidi kimtazamo. Kwa mantiki hii, makundi mawili uliyoyataja hapo juu ni lazima yawepo na hayakwepeki so long as sisi ni binadamu. Kundi la tatu nalo lazma lina...
  10. The Real Bosco

    Serikali ipige marufuku mabango makubwa kutukuza wanaotusaidia

    Hoja hii ni sahihi kabisa. Katika hali yha kawaida, ni ngumu sana kuwa na uhuru wa kifikra na uhuru wa kujitanua kimatendo wakati mazingira yanayokuzunguka yote yamejazwa mabango na matangazo kwamba vile vitu vya muhimu na vya thamani ulivyonavyo, havikupatikana kwa uwezo na maarifa yako...
  11. The Real Bosco

    Vitabu 3 mwaka huu vitakavyokupa mafanikio makubwa kimaisha

    Naamini wewe uliyefanikiwa kuandika vitabu vyote hivi na kuyajua maarifa ambayo yanasadifiwa na majina na majalada ya vitabu hivi utakuwa kati ya matajiri wakubwa wachache sana kuwahi kutokea hapa nchini
Back
Top Bottom