Eneo ninaloishi halotel wako vizuri sana kwenye meseji na kupiga. Ila data haishiki. Voda wapo vizuri kwenye data. Ila kupiga simu changamoto. Utalazimika tu kua nazo zote
Kamtukana sana
...ww ni mchovu tu uliyejaa umaskini unayehubiria wenzio utajiri kumbe nawe umejichokea tu.! ndio maana unalilia hizo 30,000 hapo ukipata malofa wenzio kama 30 tu hivi huko kwenye group whatssap tayari ushapata hiyo laki 9 bila jasho...
Hivi mwanaume unakua na mipasho kiasi hiki kisa tu mwanaume mwenzio anaelekea kujipatia kipato kupitia ujuzi wake... Yani unanuna kabisa na kumtukana juu kama vile unamfahamu saana!
Mimi nadhani tukijijengea utaratibu wa kusapoti wenzetu tutaepuka sana msongo.
Mchanganuo uko vizuri sana na unaendana hasa na kitu nilichokifanya miaka kadhaa nyuma. Hapo niliongeza feni na subwoofer nikatoa kabati. Changamoto ni moja tu: Vinyozi ni vichwa vibovu haswaaa! Mbona nilifunga!
Siku ukienda kunyoa unaona wateja wanapishana tu, usipokuwepo anasema hakunyoa.
Mnajuaje kua halimi? Mnajuaje kua hana ofisi ya kubeti? Kuomba ushauri wa biashara fulani haimaanishi kua hana chochote cha kushika. Hata hivyo, mwacheni afanye kile anachokitaka na ashauriwe humo!!
Maelezo yake yamenyooka vizuri sana. Sasa sijui huo wivu mnaodhani anao mnautolea wapi. Yani mko stressed kuliko yeye mwenyewe anayechunguliwa.
Mkuu: usijali sana hawa watu hawakaagi nyumbani. Sanasana dada wa kazi na vitoto ambavyo vitakua floor ya chini. Tulia.
Nilipata tatizo hili nilipohamia Dodoma kwa mara ya kwanza. Nilipata shida sana. Nilinunua dawa mbalimbali hasa za madukani bila mafanikio. Nikikuja kupona kirahisi sana kwa kununua mafuta ya wajasiliamali wa kibongo kutoka Kigoma. Yalitengenezwa kwa mawese.
Huwezi amini nilipona ndani ya wiki...
Piriton.
Nunua piriton tano/sita, zisage kisha zichanganye na mchuzi wa nyama au samaki robo kikombe. Akinywa atalala hapohapo. Mbebe kamtupe mbali sana kama huwezi kumla.
-usiweke dawa nyingi sana au mchuzi kidogo sana atakereka na harufu, hatakula
-mchuzi uwe sontojo la maana ili kupoza...
Kwa wanawake ruksa wakati wowote. Kwa wanaume kuna utaratibu unatakiwa kufuatwa ikiwa ni pamoja na kua na barua kutoka taasisi ya urasta uliyopo. Iko hivyo hata kwa wanafunzi. Baada ya hapo utatakiwa kuvaa kofia nyeupe uwapo kazini au shuleni kwa wanafunzi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.