Hoja dhaifu sana katika hili bandiko lako. Jaribu kueleza japo kidogo msimamo wa mawazo haya unatokana na nadharia gani (From which school of thought).
Ni upumbavu na ujinga pia kufikiri/kudhani kuwa Rais/Waziri anaweza kuapishwa mahali popote! Iko siku viongozi hawa wataapishwa chumbani na kuletewa taarifa kuwa aliapishwa Guest 🏠, Room No. 13. Siku hiyo ndo utajua jambo la kitaifa kama hili haliweze kufanyika hovyo hovyo na mahali popote...
Nani kakwambia kuwa hii si Siasa? Don't be miopic brother. This is typically politics. Na ndo maana politicians wakiulizwa kutaja achievements zao hawaachi kutaja SGR!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.