Hivi unajua kwamba Ugali uliletwa na mabeberu Afrika? Ugali sio chakula asilia

Ukistaajabu ya musa utaona ya firauni.

Piga ua utacheza ngoma ya mabeberu tu

Hivi unajua kwamba Ugali uliletwa na mabeberu Afrika?

Someni mahindi waliintroduce kina nani.

Ndio maana ugali umegandisha akili zetu waafrica ugali sio chakula asilia kabisa sio chakula asilia.

Utasikia watu wakiwacheka wasiokula ugali kwamba eti hawana nguvu.....Wakati ukila ugali ndo mbaya zaidi...ndo maana Africa tumeshindwa kuchangamsha bongo zetu kwasababu ya ugali.

Usikute ndo maana hatujui kufikirisha bongo zetu maana before haijawa introduced africa ilikua vizuri sana tulikua tunanyanyuka kwa kasi lakini toka watu waanze kula mhh!ugali sio nzuri hata kidogo.

Utasikia mtu akitamba kwamba yeye ni mwafrika asilia ndo maana anakula ugali na akiona watu wa mabara mengine wasiokula ugali kama watu dhaifu na legelege wewe nani kakuambia?ugali ni product ya mabeberu sio chakula cha asili.
Ni kama unasema Ugali na Mahindi ni kitu kimoja. Japo unajua kuwa Ugali si lazima uwe wa Mahindi. Hoja yako bado ni dhaifu sana tu.
 
Ukistaajabu ya musa utaona ya firauni.

Piga ua utacheza ngoma ya mabeberu tu

Hivi unajua kwamba Ugali uliletwa na mabeberu Afrika?

Someni mahindi waliintroduce kina nani.

Ndio maana ugali umegandisha akili zetu waafrica ugali sio chakula asilia kabisa sio chakula asilia.

Utasikia watu wakiwacheka wasiokula ugali kwamba eti hawana nguvu.....Wakati ukila ugali ndo mbaya zaidi...ndo maana Africa tumeshindwa kuchangamsha bongo zetu kwasababu ya ugali.

Usikute ndo maana hatujui kufikirisha bongo zetu maana before haijawa introduced africa ilikua vizuri sana tulikua tunanyanyuka kwa kasi lakini toka watu waanze kula mhh!ugali sio nzuri hata kidogo.

Utasikia mtu akitamba kwamba yeye ni mwafrika asilia ndo maana anakula ugali na akiona watu wa mabara mengine wasiokula ugali kama watu dhaifu na legelege wewe nani kakuambia?ugali ni product ya mabeberu sio chakula cha asili.
Sasa mbona hijasema ugali ulitokea wapi, asili yake ni wapi kama sio Afrika
 
Africans sio kwamba wana nguvu ila wanaweza kuhimili mazingira magumu (harsh environments)kutokana na nature ya mazingira yetu! Mwanafunzi ya kiafrika akienda nje anaonekana ana juhudi kwasababu anaweza soma usiku kucha bila kuchoka ktk mazingira Bora ya ulaya.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Hii ni sifa au kujitesa
 
Africans sio kwamba wana nguvu ila wanaweza kuhimili mazingira magumu (harsh environments)kutokana na nature ya mazingira yetu! Mwanafunzi ya kiafrika akienda nje anaonekana ana juhudi kwasababu anaweza soma usiku kucha bila kuchoka ktk mazingira Bora ya ulaya.

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Hao wote ni wabantu babu yao ni yuleyule wa makabila mengine ya kibantu, factor ya mazingira huchagiza IQ kwa kiasi fulani ila factor kuu ni urithi, kwa mantiki hio wabantu iq yao ni moja.Mi nimedundisha walugulu,wapogoro,wakinga,wabena,wanyakyusa nk.Sijaona tofauti ya hizo IQ.
Hakuna IQ test iliowahi fanyika kwa makabila yote zaidi ya kutumia idadi ya wasomi wa elimu ya mzungu. Hakuna utafiti uliwahi fanyika kupima iq za watanzania.darasa langu la form one mpaka 4 hajawahi ongoza mchaga,mnyakyusa wala muhaya,wäukuma ndo qaliburuza mwanzo mwisho.
Ninacho amini ni kwamba kuna makabila yametilia maanani elimu na menginr hayatilii maanani elimu, hio ndio inayokuja kuleta tofauti ya waaomi nchini ila IQ ya mwafrika haitofautiani kivile.Vilevile wataalamu wa IQ wanasema IQ hubadirika over time.Mfano kwa sasa kidunia inaongoza china wakati miaka 20 iliopita
china haikuwepo hata 10 bora.
 
Ukistaajabu ya musa utaona ya firauni.

Piga ua utacheza ngoma ya mabeberu tu

Hivi unajua kwamba Ugali uliletwa na mabeberu Afrika?

Someni mahindi waliintroduce kina nani.

Ndio maana ugali umegandisha akili zetu waafrica ugali sio chakula asilia kabisa sio chakula asilia.

Utasikia watu wakiwacheka wasiokula ugali kwamba eti hawana nguvu.....Wakati ukila ugali ndo mbaya zaidi...ndo maana Africa tumeshindwa kuchangamsha bongo zetu kwasababu ya ugali.

Usikute ndo maana hatujui kufikirisha bongo zetu maana before haijawa introduced africa ilikua vizuri sana tulikua tunanyanyuka kwa kasi lakini toka watu waanze kula mhh!ugali sio nzuri hata kidogo.

Utasikia mtu akitamba kwamba yeye ni mwafrika asilia ndo maana anakula ugali na akiona watu wa mabara mengine wasiokula ugali kama watu dhaifu na legelege wewe nani kakuambia?ugali ni product ya mabeberu sio chakula cha asili.
Sasa ndugu zetu wasukuma inakuwaje???? Wanahusudu sana vya mabeberu au ???
 
Hahaa ugali uko overrated sana utasikia sisi tuna nguvu sababu ya ugali, cha ajabu wachezaji wetu wakienda ulaya kwenye trials au wakicheza na timu za waarabu wanaonekana tena hawana nguvu
Ugali uko overràted sana..hauna la maana,ni umaskini tu unatusumbua.
 
Ni Kweli mkuu,historia inasema hivyo lkn Mimi napingana nayo sana,kwasababu Hizo historia waandishi ni hao hao mabeberu ili kuonyesha kuwa kila kitu chema kimetokea kwao kitu ambacho sio sahihi.Hivi kwa akili za kawaida unataka kusema kabla ya wazungu hatukuwa na mahindi Kweli?.This is madness.
Rejea pia lake nyanza na kilemakyaro inasemekana vimegunduliwa na mabeberu 😃
 
Na kweli wazungu wanalima mahindi kwa ajili ya kulishia mifugo
Na unakuta wananenepa haswa na kuwa na nyama nyingi na maziwa pia
IMG_1464.jpg

IMG_1463.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom