2.sababu za mimba kuchoromoka Ni pamoja na maradhi mbalimbali
Wakikupitia hamna rangi utaacha kuona! Wewe jidai tu!
Na kitu kingine ambacho hakijui nikwamba, humu jf kuna wachawi pia mfanao mzuri akina Mzizi mkavu akuna LwandaMagere kwasasa wanatoa ushuhudaKama hujui mkuu uliza kwani kaka mshana anasemaje
Za kuambiwa ulizosikia changanya na za kwako ulizozionaNa kitu kingine ambacho hakijui nikwamba, humu jf kuna wachawi pia mfanao mzuri akina Mzizi mkavu akuna LwandaMagere kwasasa wanatoa ushuhuda
Siyo hao tuu wapo wengi sana washirikina humu jf
Wahenga walisema penye wengi pana wengi
Mkuu wachawi hata humu jf wapo wakutosha acha ubishi ila wengi wao ni wafuasi wa waganga wa kienyeji
wanasema hawamini uchawi ili tuje tutoe ushuhuda, ila wanadai mungu yupo.. sasa huo si ukuda/
kuwa elimisha ni kujivuruga kichwani, maana wamefungwa akili na shetani/
We acha tu! Usiku unajisikia vibaya mara joto kali, ukitoka nje upate kibaridi unakutana na lijitu liko uchi wa mnyama. Halafu linatoweka kimiujiza!Wewe wamewahi kukupitia?
Biblia unasomaga?Sijui ni uwoga na hofu sijui ni ujinga na kukosa maarifa sijui ni kutomuamini MUNGU sijui kwa kweli shida si nini hasa mpaka mtu anashidwa kujua kanuni zinazoongoza ulimwengu mpaka sasa hivi.
Iko hivi sio uchawi tu hata shetani yenyewe hakuna hiko kitu isipokuwa Kuna UJINGA basi.ukitaka kuamini hakuna uchawi chukua Watu 10000 wakalishe chini waambie wakuelezee matatizo yao makubwa mawili yanayowasumbua,wote watakwambia ni magonjwa na umaskini yaani hawana hela hakuna hata mmoja ambaye atakwambia Kuna mtu anamloga usiku pengine anamsumbua usiku au anamchezea hizo waga Ni stori tu za kijiweni.
Nakuhakikishia mpaka unakufa hutakuja kuona mtu anapotea,mtu anaruka na ungo n.k
Kila jambo lina jibu lake tayari ukifa unapimwa Kama ulikufa kwa pressure tunakwambia kabisa kwa hiyo hizo stori za sijui kafa alikuwa mzima zinabakia mdomoni na masikioni kwa wajinga.
Kuna tofauti ati ya unachokiona na unachokisikia
Uchawi hauko hivyoNiliwahi kutoa kidau hapa watu waniloge nishindwe ku type JF.
Mpaka leo nadunda tu.
Hoja dhaifu sana katika hili bandiko lako. Jaribu kueleza japo kidogo msimamo wa mawazo haya unatokana na nadharia gani (From which school of thought).Sijui ni uwoga na hofu sijui ni ujinga na kukosa maarifa sijui ni kutomuamini MUNGU sijui kwa kweli shida si nini hasa mpaka mtu anashidwa kujua kanuni zinazoongoza ulimwengu mpaka sasa hivi.
Iko hivi sio uchawi tu hata shetani yenyewe hakuna hiko kitu isipokuwa Kuna UJINGA basi.ukitaka kuamini hakuna uchawi chukua Watu 10000 wakalishe chini waambie wakuelezee matatizo yao makubwa mawili yanayowasumbua,wote watakwambia ni magonjwa na umaskini yaani hawana hela hakuna hata mmoja ambaye atakwambia Kuna mtu anamloga usiku pengine anamsumbua usiku au anamchezea hizo waga Ni stori tu za kijiweni.
Nakuhakikishia mpaka unakufa hutakuja kuona mtu anapotea,mtu anaruka na ungo n.k
Kila jambo lina jibu lake tayari ukifa unapimwa Kama ulikufa kwa pressure tunakwambia kabisa kwa hiyo hizo stori za sijui kafa alikuwa mzima zinabakia mdomoni na masikioni kwa wajinga.
Kuna tofauti ati ya unachokiona na unachokisikia
👊👊Kwenye vitabu vya dini uchawi umetajwa. Wewe nan upinge?
Ukoje?Uchawi hauko hivyo