Recent content by the muter

  1. T

    KERO Mzazi kutozwa Sh Laki 5 hadi Milioni 5 ili kupata uhamisho wa Mwanafunzi ni sahihi?

    Je unajua kama bajeti ya mtoto ikishaelekezwa shule flan kwa mwaka wa fedha inaendelea huko mpaka mwaka ujao WA fedha? Unapomwamisha bajeti yake inatoka wap? Kama shule ni nzuri inakimbiliwa na watu wengi lazima waweke utaratibu kwajil ya bajeti ya mtoto katika kipindi hicho
  2. T

    Nahisi mtoto sio wangu

    Mwaka 2011 nilipata mtoto wa kiume katika mazingira yanayotaka kufanana na yako, nikaona nimsubiri mtoto afukishe miaka kama Mitano nikapime badaye ila badaye nilajiuliza VIP mtoto nikipima mtoto akawa wangu na akaja kujua kama niliwah kumpima DNA, na asipokuaa wa kwangu nitapeleka wap, kwan...
  3. T

    DOKEZO KERO Hizi kambi za Wanafunzi wa madarasa ya Mitihani zimekuwa kero kwa Wazazi na Walezi

    Ila hii nchi ina wajuaji , siasa wanazijua, mpira wanaujua, ualimu wanaujua Yan mtu mmoja ana taaluma zote. Tujifunze kuheshimu taaluma za watu, naamin Kila taaluma ina taratibu zake na kutofata utaratibu au miongozo kuna utaratibu wa kuchukuliwa hatua
  4. T

    DOKEZO KERO Hizi kambi za Wanafunzi wa madarasa ya Mitihani zimekuwa kero kwa Wazazi na Walezi

    Utaratibu wa serikali mchango ya wazazi lazima waitishwe kikao, waridhie na wachague mtu wa kutunza hela na kusimama utoaj wa chakula, labda ww hua hauudhuriii vikao
  5. T

    Football ya wanawake sio lazima wacheze ma tom boys

    Kiufundi wachezaji Tom boy Wana nguvu na Kasi Karibiana na wanaume, hivyo ni rahisi kuwaandaa na kupata soko lao. Hivyo Kila mwenye Akademy ya wanawake anatafuta watu wa hivyo . Kulikua na mwanariadha S Africa mpaka na Hili striker letu Clara luvanga walishalalamikiwa kuwa na wanaume mpka...
  6. T

    Rushwa ya ngono mashuleni inalelewa na kukuzwa na wahadhiri wenyewe na si wanafunzi

    Nilienda chuo na demu wangu, kufika Tu Registrar akachukua namba kwenye file akaanza kumtongoza, tumekaa kama wiki mbili kuna lecturer akaanza kumtongoza alikua ndo coordinator wa kozi anayosoma, anamuahid hatafeli somo lolote, akiona somo gumu ampe taarifa. Nikaona huyu demu atakuja kunipa...
  7. T

    Mke wa Mrisho Gambo aondolewa uafisa elimu

    Kwan amekwambia anataka kugombea?
  8. T

    Naona kama mke ananikwamisha

    Kwasabab anakula hapati picha halisi unavyohangaika, inabid ck nyingine usipeleke kitu mlale njaa ndo akili utakuja Mchunguze mawasiliano yake hasa siku unapokua umemshrikisha jambo zito, unaweza kuta kuna mtu anawasiliana naye kwa zaid ya DK 10, rafiki Ake au ndugu. Huyo ndo anambadili mawazo
  9. T

    Kwa sasa sina kazi ila nina milion 40 sasa ni jenge au nifungue biashara? Naombeni ushauri wenu

    Fanya biashara geita au kahama, frame iwe sehemu imechangamka, chukua 20 weka kwenye biashara, uangalie inavyoenda. Usichange biashara na mtu, usifanye biashara ya kutunza mazao kwa mtu, kifupi usimuamin mtu, hata biashara Fanya mwenyewe kwanza
  10. T

    PreGE2025 Dark days are coming before the election of 2025

    Kuvamiwa kwa Dr Charles kitima inaweza kuwa mwanzo wa kuingia kwenye dark days?
  11. T

    DOKEZO Afisa Elimu Mkoa wa Kilimanjaro: Michango ya michezo ya UMISETA na UMITASHUMTA mkoa wa Kilimanjaro, kila Mwalimu kuchangia Tsh 100,000

    Mbona kama heading na kilichomo ndani kinatofautiana? Heading unasema Kila Mwalimu afu ndani unasema Kila afisa elimu kata, ni kwamba hujui muundo wa kiutawala wa walimu au umefanya makusudi ili kuzuia taharuki hapa. Kiutawala Afisa elimu kata ni kiongozi anasimamia shule zote za msingi na...
Back
Top Bottom