Recent content by The MoNA

  1. The MoNA

    Mamelod ni Overrated , sijui ukubwa waliupataje

    Kabla haijawa overrated ujue ilikuwa highly rated (kuna jambo ilifanya) Mamelody is overrated yes. Timu ya 1996 tayari ina kombe la CAF, tayari wana Semi’s kama tatu nne hivi halafu timu za kariakoo ambazo sizo overrated hiyo Nusu wanaililia hadi kwa barua. Kwa Soka la Africa you can’t write...
  2. The MoNA

    Maisha yanaenda kasi sana

    R.I.P Sajuki, Ben kiko, Mzee Small, Fredwaa,Issac Gamba, Samadu Hassan, Mohammed Dahman, Gadner G Habash, Koffi Annan, Ali Hassan Mwinyi, Robert Mugabe, Edward Lowassa, …
  3. The MoNA

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Ni muda wa SPACE & TIME kwenye football, Klop bado yupo kwenye SPEED & ENERGY. Im out of Energy. Accepted. Aje Amorim, leta Technical director wa maana”,. Tubadili upepo. YNWA.
  4. The MoNA

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    LAWAMA. Kwanza nizipeleke kwa Klopp kisha wachezaji. Kuna namna namuona Klopp yupo na sisi physically ila mentally kuna mahali yupo. Hii inachangiwa na kuondoka kwake kabla ya kuondoka. Atleast January to February kulikuwa na uhai ila kwa sasa, sioni rythym kwenye team, wachezaji hawana focus...
  5. The MoNA

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Dah.!! Mpira una ukatili kweli. Nilikuwa busy kwa muda nimepata muda wa kuja huku ila ndio nakuja kinyoooooooonge. Greetings to y’all. Anyway sitii neno 2nd leg mwezi March mpaka sasa tunacheza kama kukamilisha ratiba tu. Ynwa
  6. The MoNA

    Dark days 17/03/20...

    “Sasa Inawezekana kuna watu walisahau katiba kidogo kukawa kuna mazungumzo tofauti tofauti na nini”
  7. The MoNA

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Richard Hughes (Sporting Director)+ Ruben Amorim (Currently Sporting CP Coach) litakufa jitu. Ni data data. Ujue uwepo wa Edward soon utaona Vvd Salah Trent nafsi zimetulia. Jamaa anaka ufalme fulani ndani yake. Kana heshimika sana kwenye tasnia ya mpira hasa LFC
  8. The MoNA

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    I’m with you… talented one Ndio maana kwa injury ya Jota nadra asimalize mechi. Aomgeze namba tu za assists na magoli
  9. The MoNA

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Finally he is back. I’m so Happy. Next Sporting director Richard Hughes Coach Amorim
  10. The MoNA

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Ana utofauti wa akili na miguu, miguu ipo haraka kuliko akili vinapishana. Atafute uwiano. Zile nafasi Jota imo
  11. The MoNA

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Clean. Nakumbuka Klopp aligongwa fainali wee mpaka siku alipojua fainali sio ligi one match then BOOM akabadili approach yake na imekubali. Nafikiri test aliyoipata Anfield ndio imemuwasha kipara sana, game na Arsenal kitawaka sana. Kama mie Arteta naenda kama Underdog, namuheshimu City...
  12. The MoNA

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Sijui kwa nini watu wanaona Arsenal ni mwepesi na hawezi kutwaa ubingwa. Historia ipo hapo ili kuvunjwa pia. City msimu huu mechi nyingi hawashindi convincingly unlike last season. Bado Arsenal anaweza kubeba ubingwa vizuri sana, unavyoona Arsenal ana mechi ngumu, same na City na LFC tuna mechi...
  13. The MoNA

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Mie pia naiona hii mechi kuwa ngumu sio kwa ubora wa Man u bali upinzani wa jadi uliopo. Everton as usual, bad lack tunamalizia away na hawa jamaa wawili. Ila ukomavu utaamua mechi hizi. Uzuri tutakuwa na full Squad kufikia huko. We need Jota and Jones as early as possible.
  14. The MoNA

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Hii ndio ilifanya niamini kwa nini Salah hajaanzishwa pamoja na sababu nyingine. Nahisi huwa ni tactical, plus luck pia, japo itategemea na mpinzani amekuja vipi. Na mara zote wapinzani kipindi cha kwanza huwa hawawezi kumaliza mechi.
Back
Top Bottom