Recent content by The MoNA

  1. The MoNA

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    What Salah did is unprofessional totally unprofessional. Popote duniani kwenye mpira hasa kwa timu kubwa hauwezi kutoka na kuongea kama aliyoyakngea Salah na ukiwa salama. Haipo hiyo Salah huyu huyu alikataa ku shake hand alipofanyiwa sub na Klopp watu wanasahau haraka sana. Pona yake Klopp...
  2. The MoNA

    Shamba la Urithi

    Inaumiza kichwa sana kwani ukiwa nje huwezi kuona ya ndani (sio nje ya nchi) .. 15 ni namba iliyo leta miyegusho kwa Taifa .. lakini ilileta Nuru na mwanga kwa kizazi Mengi ambayo yalishikiliwa na wachache sasa yakawa yanapenyeshwa kwetu kwa namna ya utofauti mkubwa .... Katika picha ya...
  3. The MoNA

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Arrogance na Slot's stubborn is costing him and LFC, I will come to say something about Slot. Ynwa
  4. The MoNA

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Team will be back in a good shape only if Slot go back to basics or hug himself just by building his system through Gravern, Isak, Ekitike and Wirtz, play with your strength, play many balls through your spine. Give more wide balls to either Gakpo/ Salah is to kill Wirtz and Isak abilities. So...
  5. The MoNA

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Unfortunately Gravern is neither playing as an anchor/seater. He is playing offensively with much freedom not like last season. Ynwa
  6. The MoNA

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    He who lives by last minute goals die by last minute goals. They have tasted our own medicine. What's wrong with LFC?? Nianze kwa kurudia niliyowahi kuyasema humu. Timu ili ifanye vizuri inapaswa kuwa na strong spinal chord (spine of the team). You need to have World Class GK, World Class CB...
  7. The MoNA

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Atleast there is an improvement. Kerkez with classy tried hard to pin Madueke, Konate step up yesterday great game from him, Vvd what can i say, it's a reason he is our captain. Good game vs NUFC and vs Arsenal. As a said how Arsenal will come, and they did the same. Arsenal walianza na 7...
  8. The MoNA

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Saint Anne uje huku usije kusingizia singizia, Ynwa
  9. The MoNA

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Vs Arsenal tegema mid block game kutokwa Arsenal, kama hakutatokea (red card on either side) will be a good game. Less physic game just tactical battle. So far Arsenal has balanced team over LFC, will be different test game from them. If we manage to beat them while are in disjointed mode...
  10. The MoNA

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Keep calm, good things are there to come. Ndio Silaha tuliyoichagua, muhimu funga mengi kutuzidi otherwise haiishi mpaka iishe. Rest defense ya Vvd Konate and Kerkez haija work so far. Last two games errors za Konate na Merkeza zimeleta madhara. Let Slot use Gravern as his rest defense...
  11. The MoNA

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Isak was a plan Ekitike wasn't, nafikiri hatukumfuatilia for long compare to Isak. Jota's death imeharibu mipango mingi. Hopefully Nunez was to be sold , ila Jota kulikuwa na mpango wa kukaa mezani. Sidhani kama tu files nyingi za CB na quality kuipata ni ngumu. Guehi was our priority. Ynwa.
  12. The MoNA

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Classy Ynwa
  13. The MoNA

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Msimu mzuri sana kwa Gomez, ni ule wa 2018/2019. 1st round ya ligi kwenye mechi kama ya 15/16 hivi, aliumia December mwanzoni hivi, fractured leg , ilikuwa vs Burnley. Mpaka anaumia tulikuwa tumeruhusu goli 4/5 hivi. Ilikuwa partnership nzuri sana. Alipoumia hakurejea kwenye ubora. Kidogo msimu...
  14. The MoNA

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Ni mwendo wa kubalance vitabu tu Ynwa.
  15. The MoNA

    Liverpool FC (The Reds) | Special Thread

    Its a bit of Challenge indeed, missing your senior Players kwenye mechi kama hii ni ngumu sana. But i will start with Wataru, ila ukianza na wataru inabidi ufumue kamfumo kidogo. Instead of choosing overlapping and/or under lapping upande huo unafanya inverted. Endo anaingia katikati kuwa kama...
Back
Top Bottom