Recent content by the minister

  1. the minister

    Biashara ya Kununua na Kuuza Mazao (nafaka): Jifunze Mbinu za Kuanzisha na Kusimamia

    Aiseee Hongera ila kwa miaka hii miwili biashara ya mpunga na mchele sio nzuri sana ukilinganisha miaka ya nyuma, kila kona ya nchi mpunga na mchele upo kwa wingi na mipaka nadhani bado haijafunguliwa ili kuwauzia majirani. Zaidi biashara iko slow sana labda miezi ya january na february 19
  2. the minister

    Dogo wa miaka 19 aliyefungua biashara ya 75M+

    Aiseee pongezi kwake, idea kwanza ndo itakufanya kutusua
  3. the minister

    Hawala hana shukrani!

    Hata umfanyie vipi hawala ni hawala tu hawana shukrani kabisaaa.. Mara mia achana nao kabisa!
  4. the minister

    Kosa ni kupasha kiporo...

    Kweli microwave sio nzuri
  5. the minister

    Swali fikirishi: Ni sahihi Makonda kusherehekea birthday siku ya kuazimisha elimu duniani?

    Alicho fanya ni sahihi kabisaaaaa Kwa hulka yake... Kutegemea jipya Kwa mtu kama makonda mwenye ulakini wa Elimu yake tu, kwa Walimu angechafua hali ya hewa zaidi..
  6. the minister

    Tetesi: Mkakati wa kumsimamisha Paulo Kinondoni wabuma, hofu ni pingamizi la jina mahakamani

    Hyo sio shida Sana.... Mana sifa ya kujua kusoma na kuandika tu inakupa ubunge......
  7. the minister

    Serikali iko tayari kugharamia matibabu ya Tundu Lissu popote Ulimwenguni

    Its true.... Wanaomsimamia lissu wanatakiwa kuwa makini kuliko mwanzo, sasa hao watu wameanza kupenya kwa vikauli vya dharau
  8. the minister

    Serikali iache kutukwaza zaidi kuhusu Lissu

    Kwa namna hiyo maneno na kauli ya "U ticha" bado kuna kundi la watu halitaki Lissu awe hai... Jaribu kuiangalia hyo kauli kwa off side...utaona hilo..
  9. the minister

    Swali fikirishi: Unapataje taarifa za ndani kuhusu nchi yetu kudaiwa kama huhusiki kuishtaki nchi yako?

    Haya piga hyo kazi inayoita "hapa kazi tu" Sent using Jamii Forums mobile app
  10. the minister

    Anthony Diallo abanwa kona zote nne

    Hii ndo " Haki sawa kwa wote" ... .. Wafanyakazi wa umma na wengneo wanalipa kodi bila kukosa na wanalipa kwelikweli hakuna pa kutorokea.. Kwa hili la kodi wote lazima tuwe upande wa serikali, kila mtu alipe kodi kwa mujibu wa sheria.. hakuna kuonewa bali kulipa kodi.. Post sent using...
  11. the minister

    Halima Mdee kamtukana Rais kwa tusi gani?

    Siku tukijua uongozi na kiongozi sio vitisho wala ubabe tutakuwa tumechelewa sana........... Kiongozi mzuri ni yule apigae kazi bila kujali kelele za vyura! Anyway tuko transition period kutoka 4th regime to 5th one... TZ yetu sote
Back
Top Bottom