edwayne
JF-Expert Member
- Apr 5, 2013
- 8,879
- 9,677
Ukiua jela maishaHahahahahaha kuna kamoja nilikapiga kwenzi takatifu mpk leo nikienda kwao kinaniogopa kweli kweli
Ukiua jela maishaHahahahahaha kuna kamoja nilikapiga kwenzi takatifu mpk leo nikienda kwao kinaniogopa kweli kweli
Ndo hivo mzazi anafurahi hata kumkanya mtt no, mpaka leo sijagusa tena hiyo nyumbaHaaaaahaaaaa ....mkuu mbavu zangu!
Hivi kwanini watoto wanapenda mambo ya matusi sana!
Alaa kumbe ndio wewe mdada mfupi hivi unaendaga kufua nguo kwa Mzee wangu ndio maana siku ile weekend nilipokuja kuwasalimu wazee mshua akanitambulisha wale wafanyakazi wa ndani pia akanambia kuwa wewe huwa unakuja kila weekend kufua nguo na kunyoosha na unalipwa kwa siku.English ni nzuri ila dah kuna familiya moja mambo safi wanapenda kunipa order niwafanyie kitu Fulani, sasa hiyo familiya watoto wako wawil wanasoma shule moja matata hapa mjini.
Wakiwa nyumbani ni full English, wafanyakazi, ni wale kolomije group wanajua yes/ no tu sasa majibizano humo ndani mm sina mbavuuuuuuuuuuu,
Hope mmepata picha sitaki kusimulia zaidi. maana hiyo kazi naifanya almost Siku nzima sasa nikitokaga pale napitia pain killers maana Siku nzima nacheka.
Kuna Siku moja nilivi record, Siku nikiwa na stress nasikiliza.
Nyumba hiyo INA wafanyakazi watatu wawili wa kike mmoja wa kiume kazi yake ni Usafi wa.mazingira, jina lake focus/fokas
Sasa Siku moja nipo naendelea na kazi mle ndani Mara wale watoto.wanagombania kijiko na huma vikaanza, dadaaaaaaaaaa I need to use a spoon, kingine daaaaada I need a fork eeheeeeee Mara mfanyakazi kakimbia kumuita foka yule mfanyakazi, yaaan ni full comedy.
Ila watoto kiingereza wanajua ni majibizano na wafanyakazi
Wanamlea vibaya masikini ....watajuta mbeleNdo hivo mzazi anafurahi hata kumkanya mtt no, mpaka leo sijagusa tena hiyo nyumba
Huyo dogo hajawahi kalipiwaMimi yalinikuta nilikwenda kumtmbelea jamaa ya ngu docta wakati huo mi askari wa trafic mwanza Wakati nimeacha kofia yao trafiki sebureni lile toto likachukua kofia na kwenda nayo nje huku limeivaa we bwana,wenzake kuona wakaichukua na kuanza kuigiza kama wanasimamisha magari ,dah sitaki kukumbuka ila tukaanza msako tulipo mpata tukaanza kubembeleza arudishe likagoma mwisho likasema sitoi kofia hadi mnipe hela,ah mama ya hilo toto akanitaka nitoe hela kwa shingo upande nikatoa badala ya kunipa kofia likaitupa huko nikaenda kuiokota imkuwa nyeusiii jamani naona niishir hapo kwani najisikia vibaya sana .hapo ni kwa kifupi
Sintasahau.uuuuwi jamaniii.
Haaahaaaa hii comment mbavu zanguNilishakosana na sistaangu kwa mambo ya kipuuzi kama haya mtoto anadekezwa sana toto lipo darasa la tano wenyewe wanaita standadi faivu bado linashindwa kutoka usiku kwenda kujisaidia na choo kipo ndani. Siku hiyo nilienda kwa sista nikawa nimelala na hilo toto ni la kiume eti linaambiwa kakojoe kabisa ndio ukalale nilishangaa sasa kwa ujeuri wake halikwenda likalala bila kukojoa eti usiku linaniamsha Ankali.. Ankaliii... Ankaliiii amkaaa niko na wenge la usingizi nikamuuliza vipi eti linaniambia nilipeleke chooni limebanwa na mkojo pumbavu nikaliweka kofi moja tu na kilio kikaanza nikavuta shuka nikalala asubuhi nalikuta limelala kwenye busati pale chumbani isitoshe limejikojolea niliwaka sana mpaka tukagombana na sista.
Eti Ankalii nipeleke chooni... Pumbavu na choo kipo ndani shwaini kabisa.
Dah.. Mi na mtoto wa sista yule ni nunda mabazi piga sana ila haogopi wala niniNilishakosana na sistaangu kwa mambo ya kipuuzi kama haya mtoto anadekezwa sana toto lipo darasa la tano wenyewe wanaita standadi faivu bado linashindwa kutoka usiku kwenda kujisaidia na choo kipo ndani. Siku hiyo nilienda kwa sista nikawa nimelala na hilo toto ni la kiume eti linaambiwa kakojoe kabisa ndio ukalale nilishangaa sasa kwa ujeuri wake halikwenda likalala bila kukojoa eti usiku linaniamsha Ankali.. Ankaliii... Ankaliiii amkaaa niko na wenge la usingizi nikamuuliza vipi eti linaniambia nilipeleke chooni limebanwa na mkojo pumbavu nikaliweka kofi moja tu na kilio kikaanza nikavuta shuka nikalala asubuhi nalikuta limelala kwenye busati pale chumbani isitoshe limejikojolea niliwaka sana mpaka tukagombana na sista.
Eti Ankalii nipeleke chooni... Pumbavu na choo kipo ndani shwaini kabisa.
Ankali bana , ila hii mitoto ya digital shida, kuna huyo Dogo yeye akiona wageni hatulii ,Mara akurukie mwilini, Mara achukue simu acheze game, dah ngoja siku ntamnyoosha kama JuniaNilishakosana na sistaangu kwa mambo ya kipuuzi kama haya mtoto anadekezwa sana toto lipo darasa la tano wenyewe wanaita standadi faivu bado linashindwa kutoka usiku kwenda kujisaidia na choo kipo ndani. Siku hiyo nilienda kwa sista nikawa nimelala na hilo toto ni la kiume eti linaambiwa kakojoe kabisa ndio ukalale nilishangaa sasa kwa ujeuri wake halikwenda likalala bila kukojoa eti usiku linaniamsha Ankali.. Ankaliii... Ankaliiii amkaaa niko na wenge la usingizi nikamuuliza vipi eti linaniambia nilipeleke chooni limebanwa na mkojo pumbavu nikaliweka kofi moja tu na kilio kikaanza nikavuta shuka nikalala asubuhi nalikuta limelala kwenye busati pale chumbani isitoshe limejikojolea niliwaka sana mpaka tukagombana na sista.
Eti Ankalii nipeleke chooni... Pumbavu na choo kipo ndani shwaini kabisa.
UtashitakiwaaHaaahaaa.....jomoni juniya kawa junya tena
Nimecheka sana coz kuna kamoja leo kametoka kuniletea huo upumbavu anaowafanyia wazazi wake kanisani nimekafinyaje mbele yao!
Haahaaa.....potelea mbaliUtashitakiwaa
Ukija huku usijaribu.. Mi huwa nacheka tuu hizi kasheshe za hawa watoto.. Tena sasa balaa kulea watoto in public place ni kazi ya baba.. Basi baba anapata shida nyingiHaahaaa.....potelea mbali
, safi sana nadhani after kifinyo hicho kalitulia kimyaa na wazazi wake wakapata nafuu , junia alikuona you are veri badiiiHaki ungekuwepo leo ungesikia kichefuchefu ...kina miaka minne kasoro hivi cha kiume!
Yaan baba na mamaake wamekaa na mimi row moja na 'juniya' kapachikwa katikati yangu ...mara awanase vibao wazazi wake, kuna mda kampiga babaake kwenzi kwa nguvu eti jamaa anachekelea tu ....sasa akanigeukia mimi ( kumbuka hapo nishamkinai coz alinikanyaga mara kibao halafu kimakusudi mi kimya) akaanza kunivuta nywele weee nimekakamata huo mkono nikakageuza kwangu nikakafinya matako mpakaa....wazazi wake wametoa macho .....
Hahahaha,km nakuona.Sipendi mitoto isiyoogopa watu.Haki ungekuwepo leo ungesikia kichefuchefu ...kina miaka minne kasoro hivi cha kiume!
Yaan baba na mamaake wamekaa na mimi row moja na 'juniya' kapachikwa katikati yangu ...mara awanase vibao wazazi wake, kuna mda kampiga babaake kwenzi kwa nguvu eti jamaa anachekelea tu ....sasa akanigeukia mimi ( kumbuka hapo nishamkinai coz alinikanyaga mara kibao halafu kimakusudi mi kimya) akaanza kunivuta nywele weee nimekakamata huo mkono nikakageuza kwangu nikakafinya matako mpakaa....wazazi wake wametoa macho .....
Wa huko wanawalea vizuri bana....mi na wazungu mabest zangu wana watoto wana heshima balaa...tatizo watoto wa kiafrica sijui nini shidaUkija huku usijaribu.. Mi huwa nacheka tuu hizi kasheshe za hawa watoto.. Tena sasa balaa kulea watoto in public place ni kazi ya baba.. Basi baba anapata shida nyingi