Recent content by The Master pizo

  1. The Master pizo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanzania hatuwezi kuwa na satellite zetu

    Sasa usifananishe mfumo uliopo kwao na ulionao wewe asilimia 80 bado unawategemea wazungu kwenye kufanikisha mambo hata yale madogo tu leo unataka tuwaze mambo ya satelite Tujifunze hata kutengeneza taa basi au kiwanda cha tochi tu cha TANZANIA
  2. The Master pizo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanzania hatuwezi kuwa na satellite zetu

    Kijana kama uko shule basi chagua mawili kusoma sana uje ili upunguze muda wa kuja kuteseka huku kwa ground au uache shule uje uteseke na sisi huku ground ujitengenezee life mapema Ukiwa shule na ukawa na mawazo kama hayo tunaita ni elimu imekolea kwa kichwa hata ukimwambia baba yako utamuona...
  3. The Master pizo

    JamiiForums Tanzania Je, kuweka jina lako halisi mwishoni mwa uzi kuna madhara?

    Majina ni ya kwako cv ni za kwako nani akuzuie andika mpaka orodha ya wana ukoo mzee baba mpaka shule ulizosoma halafu siku ukianza kufuatiliwa ndo utaelewa nini maana SIRI Mambo mengine unatakiwa uyaache chini ya kapeti sio kila kitu unatoa hadharani Je huo uzi ukishauandika nani atauiba...
  4. The Master pizo

    JamiiForums Tanzania Nahitaji huduma ya kutengenezewa website yenye subcription

    +255 625 683 061 Mcheki huyu jamaa hapa hutojutia na anamiliki hosting mwenyewe so usimamizi wa kazi yako nzima atausimamia mwenyewe endapo utachukua na hosting kwake nimefanya naye kazi nyingi na za wateja wengi ni very professional
  5. The Master pizo

    JamiiForums Tanzania Waziri Nape: Elon Musk hakuwa na mpango wa kuweka ofisi Tanzania

    Hivi kuna waziri hapa kweli yaani elon musk ashindwe kuweka ofisi TZ?
  6. The Master pizo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji kutengenezewa App ya android

    Nini hiyo
  7. The Master pizo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nahitaji kutengenezewa App ya android

    Hebu anunue domain kwanza kwenye blog yake usikute anahitaji app akijua ni 20000 tu
  8. The Master pizo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

    Story imekuwa dhahabu sasa yaani mpaka tuchimbeeeeee ndo itumwe
  9. The Master pizo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

    Hivi story imeisha au?
  10. The Master pizo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

    Sijui inaendelea saa ngapi
  11. The Master pizo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

    Kazi nzuri sana mkuu keep it up
  12. The Master pizo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Jirani yangu wa kule Goba hakuwa mtu wa kawaida

    Nipo hapa
  13. The Master pizo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Animation makers

    hebu anzia youtube kuchukua tutoria ndogo ndogo jifunze pia kufanya mesh kufanya scketching pia mimi nilitumia blender 2018 ila niliacha kwa sababu mashine yangu ilianza kusumbua betrii maana iliua kabisa betrii
  14. The Master pizo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Fahamu jinsi ya kutengeneza pesa kutumia Mobile App

    hahahahha haya shikilia hapo hapo ulipo
  15. The Master pizo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tujifunze BBMA strategy

    https://t.me/forexkillerfb
Back
Top Bottom