Watu kama nyie ndo mnaongeza idadi ya kejeli na matusi dhidi yake.
sasa hapo unaonda kabisa Putini yupo kwenye field, au mazoezi hata kama itakua ni sehemu yake ya mapumziko, uwezi fananisha na huyu wa kwetu anayeatamia mawe yatotoe vifaranga.
binafsi hunitokea hasa pale ninapokua nipo kwenye mtanzuko wa kitu au jambo flani. najikuta najiuliza swali na majibu yanakua zaidi ya mawili. ila huwa sijui ni kwanini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.