Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 13,550
- 16,635
HatariousKabla Gwaji boy hajaunga juhudi alishawahi kusema "Zero always is Zero" hivyo hatuwezi tarajia lamaana toka kwa mtu huyo tumuombe Mungu amsaidie
"Mwanadamu mwenye busara husitiri maarifa; Bali moyo wa wapumbavu hutangaza upumbavu"
Mithali 12:23